Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Mkuu

Quraan ni somo lenye fani zaidi ya moja
Mfano mdogo

Aya ulizozituma,Ni aya kamili katika Quraan,ila hazifanyi kazi kihukmu,
Tazama mtiririko huu Chief
1)Kuna aya husomwa na hufanya kazi kihukmu
2)Kuna aya husomwa,lkn hazifanyi kazi kisheria
3)Kuna aya haipo ndani ya Quraan(haisomwi)lkn inafanya kazi kisheria
4)Kuna aya haipo ndani ya Quraan(Imefutwa)na haifanyi kazi kisheria

Na haya yote
Yalitokea zama za Mtume wa Allah sala na salamu ziwe juu yake kwa amri ya Mola

Unaweza kuuliza
Kwann zinafutwa?!
Jawabu
Quraan ilishuka taratibu ndani ya miaka 23 kwa matukio mbalimbali na ukumbusho au maonyo na makemeo,Ushukaji wake,kulingana na hali za watu kwa wakati husika.
mfano
Pombe iliharamishwa ndani ya awamu tatu.
Awamu ya kwanza
Ni Hii
يَسْأَلونَكَ عَنِ الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ قُلْ فِيهِمَا إِثْمٌ كَبِيرٌ وَمَنَافِعُ لِلنَّاسِ [البقرة:219]
Wanakuuliza kuhusu Pombe na Kamari,Waambie,ndani ya Pombe na Kamari kuna madhambi makubwa na manufaa kwa watu

Aya hii,haikuja moja kwa moja kuharamisha,Bali ilikuja kutoa tahadhari tu

Aya ya pili
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لا تَقْرَبُوا الصَّلاةَ وَأَنْتُمْ سُكَارَى [النساء:43].
Enyi Walioamini,msiikaribie swala hali ya kuwa mmelewa(mmekunywa Pombe)

Aya hii
Ikaja kuharamisha kipindi tu cha Swala,mbali na swala,baadhi walikuwa wanaendelea kunywa

Aya ya tatu

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنْصَابُ وَالْأَزْلامُ رِجْسٌ مِنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ [المائدة:90].
Enyi mlioamini,Hakika mambo yalivyo,Pombe na Kamari na Na Ibada ya Masanamu na Ramli,ni shari/chukizo katika miongoni mwa matendo ya Shetani,Basi jiepusheni nayo,ili mpate kufaulu

Aya hii ya tatu
Imekuja moja kwa moja Kuharamisha,zikabaki aya mbili za mwanzo,kuwa ni zenye kusomwa tu bila kufanyiwa kazi kisheria

Huu ni mfano tu Mkuu

Turudi nyuma

Aya ulizozituma,zimebaki kusomwa tu bila kufanyiwa kazi kisheria
aya iliyokuja na kufuta hukmu za aya mbili ulizozituma ni hii kwa mtu asie kuwa na Mke ni hii au Mume(akafanya dhambi ya zinaa)

الزَّانِيَةُ وَالزَّانِي فَاجْلِدُوا كُلَّ وَاحِدٍ مِنْهُمَا مِائَةَ جَلْدَةٍ [سورة النور: 2
Mzinifu Mwanamke na Mzinifu Mwanaume,Wapigeni viboko kila mmoja miongoni mwao,viboko mia moja....

Ama aya kuhusu kupigwa mawe mpaka kufa,ni kwa wale ambao wameoa au kuolewa
Aya hii imefutwa kusomwa,imebaki Hukmu
aya ni hii

الشَّيْخُ وَالشَّيْخَةُ فَارْجُمُوهُمَا الْبَتَّةَ نَكَالًا مِنَ اللَّهِ وَاللَّهُ عَزِيزٌ حَكِيمٌ
Mtu mzima mzifu(Mwanaume alieoa) na Mtu mzima mzinifu(Mwanamke alieolewa),Wapigeni mawe moja kwa moja(mpaka kufa),Adhabu itokayo kwa Allah,Na Allah ni mwenye nguvu mwenye hukmu

Ikadhabiti hili kutoka kwa Mtume wa Allah,kwa kuwaadhibu wazinifu kwa aina zao

Mkuu
Nataraji utakuwa umenielewa angalau kwa uchache

Shukran sana
Nakaribisha masahihisho kwa ndg zangu
na kama kuna swali,naomba liulizwe,in sha Allah tutajaribu kulijibu ikiwa tuna elimu nalo









Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu

Quraan ni somo lenye fani zaidi ya moja
Mfano mdogo

Aya ulizozituma,Ni aya kamili katika Quraan,ila hazifanyi kazi kihukmu,
Tazama mtiririko huu Chief
1)Kuna aya husomwa na hufanya kazi kihukmu
2)Kuna aya husomwa,lkn hazifanyi kazi kisheria
3)Kuna aya haipo ndani ya Quraan(haisomwi)lkn inafanya kazi kisheria
4)Kuna aya haipo ndani ya Quraan(Imefutwa)na haifanyi kazi kisheria

Na haya yote
Yalitokea zama za Mtume wa Allah sala na salamu ziwe juu yake kwa amri ya Mola

Unaweza kuuliza
Kwann zinafutwa?!
Jawabu
Quraan ilishuka taratibu ndani ya miaka 23 kwa matukio mbalimbali na ukumbusho au maonyo na makemeo,Ushukaji wake,kulingana na hali za watu kwa wakati husika.
mfano
Pombe iliharamishwa ndani ya awamu tatu.
Awamu ya kwanza
Ni Hii
يَسْأَلونَكَ عَنِ الْخَمْرِ وَالْمَيْسِرِ قُلْ فِيهِمَا إِثْمٌ كَبِيرٌ وَمَنَافِعُ لِلنَّاسِ [البقرة:219]
Wanakuuliza kuhusu Pombe na Kamari,Waambie,ndani ya Pombe na Kamari kuna madhambi makubwa na manufaa kwa watu

Aya hii,haikuja moja kwa moja kuharamisha,Bali ilikuja kutoa tahadhari tu

Aya ya pili
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لا تَقْرَبُوا الصَّلاةَ وَأَنْتُمْ سُكَارَى [النساء:43].
Enyi Walioamini,msiikaribie swala hali ya kuwa mmelewa(mmekunywa Pombe)

Aya hii
Ikaja kuharamisha kipindi tu cha Swala,mbali na swala,baadhi walikuwa wanaendelea kunywa

Aya ya tatu

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنْصَابُ وَالْأَزْلامُ رِجْسٌ مِنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ [المائدة:90].
Enyi mlioamini,Hakika mambo yalivyo,Pombe na Kamari na Na Ibada ya Masanamu na Ramli,ni shari/chukizo katika miongoni mwa matendo ya Shetani,Basi jiepusheni nayo,ili mpate kufaulu

Aya hii ya tatu
Imekuja moja kwa moja Kuharamisha,zikabaki aya mbili za mwanzo,kuwa ni zenye kusomwa tu bila kufanyiwa kazi kisheria

Huu ni mfano tu Mkuu

Turudi nyuma

Aya ulizozituma,zimebaki kusomwa tu bila kufanyiwa kazi kisheria
aya iliyokuja na kufuta hukmu za aya mbili ulizozituma ni hii kwa mtu asie kuwa na Mke ni hii au Mume(akafanya dhambi ya zinaa)

الزَّانِيَةُ وَالزَّانِي فَاجْلِدُوا كُلَّ وَاحِدٍ مِنْهُمَا مِائَةَ جَلْدَةٍ [سورة النور: 2
Mzinifu Mwanamke na Mzinifu Mwanaume,Wapigeni viboko kila mmoja miongoni mwao,viboko mia moja....

Ama aya kuhusu kupigwa mawe mpaka kufa,ni kwa wale ambao wameoa au kuolewa
Aya hii imefutwa kusomwa,imebaki Hukmu
aya ni hii

الشَّيْخُ وَالشَّيْخَةُ فَارْجُمُوهُمَا الْبَتَّةَ نَكَالًا مِنَ اللَّهِ وَاللَّهُ عَزِيزٌ حَكِيمٌ
Mtu mzima mzifu(Mwanaume alieoa) na Mtu mzima mzinifu(Mwanamke alieolewa),Wapigeni mawe moja kwa moja(mpaka kufa),Adhabu itokayo kwa Allah,Na Allah ni mwenye nguvu mwenye hukmu

Ikadhabiti hili kutoka kwa Mtume wa Allah,kwa kuwaadhibu wazinifu kwa aina zao

Mkuu
Nataraji utakuwa umenielewa angalau kwa uchache

Shukran sana
Nakaribisha masahihisho kwa ndg zangu
na kama kuna swali,naomba liulizwe,in sha Allah tutajaribu kulijibu ikiwa tuna elimu nalo









Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenijibu Mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kulingana na hizo ayat allah ameshatoa Adhabu kwa wanawake wanao sagana Adhabu yao wafungiwe majumbani hadi umauti uwafishe ima atokee mgen stake kuoa kwa wanaume Adhabu nimekaimishwa Mimi nichague unaweza nikamfunya...ila akisema nimetubu na kutengemea nimuache Mara moja na sababu aliyoibainisha ni MWINGI WA HURUMA NA KUSAMEHE SIO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo aya hazihusu wanawake wanaosagana Mkuu Mgen
Bali wanawake wanaotoka nje ya ndoa kwa kufanya tendo la Zinaa
Mbona kulingana na hizo ayat allah ameshatoa Adhabu kwa wanawake wanao sagana Adhabu yao wafungiwe majumbani hadi umauti uwafishe ima atokee mgen stake kuoa kwa wanaume Adhabu nimekaimishwa Mimi nichague unaweza nikamfunya...ila akisema nimetubu na kutengemea nimuache Mara moja na sababu aliyoibainisha ni MWINGI WA HURUMA NA KUSAMEHE SIO

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
angalau aya ya kwanza uliyoituma

Allah amesema mwishoni mwa aya

أو يجعل الله لهن سبيلا

Au Allah awape/awatolee njia nyengine/hukmu nyengine

Kwamaana
Wafungieni mpaka Umauti uwapate,au mpaka pale Allah atakapoleta hukmu tofauti na hii(ya kufungiwa ndani)
Hukmu ikaja/ikaletwa
Nayo ni kupigwa Viboko kwa wale Mabachela ama wale waliooa,Basi ni mawe mpaka kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo aya hazihusu wanawake wanaosagana Mkuu Mgen
Bali wanawake wanaotoka nje ya ndoa kwa kufanya tendo la Zinaa

Sent using Jamii Forums mobile app



Hizo aya hazihusu wanawake wanaosagana Mkuu Mgen
Bali wanawake wanaotoka nje ya ndoa kwa kufanya tendo la Zinaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu turudie hizi ayat View attachment 1002992View attachment 1002994
IMG_20190123_213229_827.jpg
mbona unapindisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom