Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,971
- 3,827
Kama ilivyo kwa taasisi nyingine ambazo zinahusika na vyombo vya usafiri kuwa barabarani kati hali ya usalama na uhalali idara ya ZIMAMOTO maarufu kama FIRE nayo imetoa stika kwa ajili ya vyombo vya usafiri.
Kwa mikoa mingine tayari stika hizo zilikuwepo ila kwa DAR ndo sasa zimeanza kuonekana.
Tumeona taasisi kama TRA (mapato & road licence), SUMATRA, POLICE (nenda kwa usalama), BIMA, MANISPAA wakitoa vibandiko hivyo kwa gharama tofauti ZIMAMOTO nao wamejiunga na "riadha hii" (join the race).
KERO KUBWA NI NAMNA MSAKO NA UKAGUZI WA STIKA HIZI UNAVYOFANYWA ...... ! MAGARI YA ABIRIA KWA DAR NDIYO WAATHIRIKA WA MISAKO HII PEKEE....!
UTAWAKUTA KWA WINGI KWENYE VITUO VYA DALADALA...WHY...?
Kwa mikoa mingine tayari stika hizo zilikuwepo ila kwa DAR ndo sasa zimeanza kuonekana.
Tumeona taasisi kama TRA (mapato & road licence), SUMATRA, POLICE (nenda kwa usalama), BIMA, MANISPAA wakitoa vibandiko hivyo kwa gharama tofauti ZIMAMOTO nao wamejiunga na "riadha hii" (join the race).
KERO KUBWA NI NAMNA MSAKO NA UKAGUZI WA STIKA HIZI UNAVYOFANYWA ...... ! MAGARI YA ABIRIA KWA DAR NDIYO WAATHIRIKA WA MISAKO HII PEKEE....!
UTAWAKUTA KWA WINGI KWENYE VITUO VYA DALADALA...WHY...?