uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,678
- 20,444
😊Hapana,wasosholaizi wengine mkuu
😊Hapana,wasosholaizi wengine mkuu
HahahahahahaYeah mengi sana...nadhani yanawatosha
I mean mimi ndio nilikuwa nahoji, nilishaendesha hizi show mara kadhaa! sijawahi kuhojiwa.Heshima kwako Mkuu.
Vipi hukupata usumbufu baada ya show.?
Maana watu walijua baadhi ya vitu, walivyokuwa hawafahamu mwanzo.
Hapana..,,sioni kama kuna jipya juu yangu mpaka watu wapate kujua mkuuWe muoga.
By that time almost miaka 11 iliyopita.@To yeye itafaana sana.
Sio lazima kuwe na jipya!Hapana..,,sioni kama kuna jipya juu yangu mpaka watu wapate kujua mkuu
🤣🤣🤣🥵Mleta mada bila shaka muda huu utakua umeshakula na umeshiba.
Ksma lile la kupendelea .........au.........Ngoja nitaanzisha mie, tatizo maswali mengine magumu mno![]()



Siku ya interview yako ningesitisha na kaziHapana utanifanya niikimbie jf
Sipendi maswali ya ajabuajabu aiseeSiku ya interview yako ningesitisha na kazi
Hiyo ndo maana halisi ya interviewSipendi maswali ya ajabuajabu aisee
Na ndiyo maana nilikataaHiyo ndo maana halisi ya interview
Hizo interview zinaanza lini lakini?Na ndiyo maana nilikataa
Hakuna walikuwa wanagusia tuHizo interview zinaanza lini lakini?
SawaHakuna walikuwa wanagusia tu
😂😁😁😁😁😁Jaribuni muone kikao kitakavyoharibika humu na ban juu 😂😂😂🤣