Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,265
nahitaji video siyo pdf, sina mchumba mimi
Ahh😅😅 ili ujichukulie sheria mkononinahitaji video siyo pdf, sina mchumba mimi
Ongeza nyama style namba ngapi Tuichambue vizuri mkuuMbn zingn hata sio style 🤔🤔🤔na wasi wasi kama mwandishi aliwahi kutrombraaa
Hii ndio sayansi ambayo kila kiumbe anafaulu mkuuHii paper inaweza kuua mjadala wa Gaza na ule wa Mwenezi wa chama chetu
Tena anafaulu hata bila kusoma 🤣 🤝Hii ndio sayansi ambayo kila kiumbe anafaulu mkuu
Kadri teknolojia inavyokua Basi inabidi tukue pia kila idara usibaki na style za enzi za wakoloni Karl peters, chief Mangungo na MzilikaziKifo cha mende kinatosha, muhimu kukojoa tu. 😂🤣
😁😁😁Hv Kumbe bado ipo Miaka Hii tulitumia sana wakati wa ujamaaKifo cha mende kinatosha, muhimu kukojoa tu. 😂🤣
Aahh.. mie siwezi kushindana na wakati, wacha niendelee na hii hii style ya enzi za NUHUKadri teknolojia inavyokua Basi inabidi tukue pia kila idara usibaki na style za enzi za wakoloni Karl peters, chief Mangungo na Mzilikazi
Mie nadumisha mila, bado natumia😂😁😁😁Hv Kumbe bado ipo Miaka Hii tulitumia sana wakati wa ujamaa