brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 896
Siku zote shetani hakupi jambo lake bila kumkufuru mungu tena kumkufuru kisawa sawa.... Hata kumfukia ng'ombe mzima mzma ni dhambi nzito tena kubwa.
hapo ujesha bado kuna proccess tele utapitia za kumkufuru mungu....daaah
Kwa kwel matajiri weng wana utajiri ila n watumwa wa shetani na majini ila kwa mungu hawana chao na mbaya zaidi huwa hawana aman wala furaha na mali zao
hapo ujesha bado kuna proccess tele utapitia za kumkufuru mungu....daaah
Kwa kwel matajiri weng wana utajiri ila n watumwa wa shetani na majini ila kwa mungu hawana chao na mbaya zaidi huwa hawana aman wala furaha na mali zao