Na hawatoki,Wana sababu zaoSiyo kazi yangu kujua, ni jukumu langu kulipia hudumu na wao kutoa huduma.
Kimoja hakifiki hata bilioni 5Na wewe ni mpumbavu mwingine! Kamuulize mo mwenyewe!
Watatoka tu, tutafuta kichaa mwingine awape pressure km miaka mitano iliyopita.Na hawatoki,Wana sababu zao
Nilimaanisha hawatoiWatatoka tu, tutafuta kichaa mwingine awape pressure km miaka mitano iliyopita.
mkuu ni viwanda vya kushona suti, baskeli za miguu 3 na majiko ya mkaa.Duuh! Wee kilaza wee usiye na haya usoni! B460 ijenge viwanda 100? Yaani kila kimoja kijengwe kwa B4.6! Labda kujenga nyumba!
Ushindwe na ulegee shetani mtu!
Sijawahi Ona Anna mwenye mapepe kama wewe. Au umeiba jina la mtu?Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
"ita..."Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Hiyo kampuni haina Jina??Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Sasa suala la jina la mtu linahusikaje ndugu yangu? Investment ya ujenzi wa miundombinu na administrative cost ni vitu viwili tofauti.Sijawahi Ona Anna mwenye mapepe kama wewe. Au umeiba jina la mtu?
Sasa hiyo Bilion 460 hata ukisema uwalipe mishahara tu hao wtu 10,000 mbona haitoshi? Ukiwamua uwalipe wote kwa wasitani wa Million 3 kwa mwezi zinaisha mwa huohuo kabla kiwanda hakijaanza kuzalisha.
Common sense zako zinakuaminisha kuwa B460 zinaweza kujenga viwanda 100? Kiwanda siyo katakana!Umekosa weledi wa mjadala. Unge challenge kwa hoja ukitoa mfano wa aina ya kiwanda hata kama ni cha kushona kaniki za bibiako na bibiangu kijijini, kinaweza kutumia sh ngapi na kuajiri watu wangapi? Aina ya mtambo na raw materials. Unakuja kubeza bilioni 460? You can't be serious Ileje!
Tu challenge hoja kwa hoja zaidi.
Sifanyi mijadala na wapumbavu!Kimoja hakifiki hata bilioni 5
Hakifiki 5b mo energySifanyi mijadala na wapumbavu!
Kwa hiyo objective kuu ya hiyo viwanda vyao ni kuja kuzalisha Ajira Kwa watanzania? Basi Wamisri wanahuruma sana.Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Utaanzaje kuzalisha bila kuwa na pesa ya kulipa mishahara?Sasa suala la jina la mtu linahusikaje ndugu yangu? Investment ya ujenzi wa miundombinu na administrative cost ni vitu viwili tofauti.
Ni sawa na kutenga bilioni 100 kununua mabasi ya mradi huwezi kuzihusisha fedha za madereva, utingo au waosha magari. 😀😀😀