johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.