Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Baada ya miaka mingi, nilirudi bongo juzi and I must say nilinusurika kugongwa na magari mara mbili wakati navuka barabara kwenye zebra crossing. Baada ya siku kadhaa na kulizoea jiji nikagundua kwamba hizo crossings zipo tu kama mapambo na hakuna dereva anayeziheshimu. Ukitaka kuvuka barabara ni lazima usubiri hadi kuwe hakuna magari ndo uvuke hata kama uko kwenye zebra! Hii ina maana kwamba hakukuwa na haja ya kupoteza hela kuweka hii michoro na you might as well vukia barabara popote tu ambapo unaona ni safe.
Ikumbukwe kwamba kwenye zebra crossing ni sehemu salama ambayo mwenda kwa miguu ana haki ya kuvuka barabara na dereva anapaswa kusimama kama kuna watu wanaosubiri kuvuka. Kama wanaosimamia sheria za barabarani wameshindwa kuwabana madereva waheshimu alama za barabarani na kuhatarisha maisha ya waendao kwa miguu, ni bora kabisa waondoe hizi alama barabarani manake zinaweza zikaku mislead ukajikuta umegongwa......
Kana-Ka-Nsungu
Ikumbukwe kwamba kwenye zebra crossing ni sehemu salama ambayo mwenda kwa miguu ana haki ya kuvuka barabara na dereva anapaswa kusimama kama kuna watu wanaosubiri kuvuka. Kama wanaosimamia sheria za barabarani wameshindwa kuwabana madereva waheshimu alama za barabarani na kuhatarisha maisha ya waendao kwa miguu, ni bora kabisa waondoe hizi alama barabarani manake zinaweza zikaku mislead ukajikuta umegongwa......
Kana-Ka-Nsungu