BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,021
Hao jamaa wasipokuwa makini na kuendelea kutumiwa na CCM basi wanaweza kupoteza umaarufu waliokuwa nao. Watanzania wa leo sio wale wa mwaka 47, wanajua kwamba kuna kashfa nzito dhidi ya viongozi wa juu ndani ya sirikali. Hivyo kama watatumiwa ili kubadilisha somo basi watalia kilio cha mbwa maana wananchi wanaweza kabisa kuwageuka wao na kuwaona ni mahayawani tu na umaarufu ukapotea.