Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,202
- 14,123
Hahahaaa herufi tatuTununu Inofu Winome kama kihehe kinapanda utaelewaHahahahaha lol! Mzima weye? Zari ni mtu mzima mama wa watoto watano. Kama ameamua kudate kwanini amfiche new BF? Anaweka picha kule insta wakiwa pamoja lakini anamficha akiacha mikono kidogo tu 😳
Nahisi wambeya walimtonya DP kwamba P Square ndiyo yuko na mzazi mwenzio na yeye akaamua kuwalipua kwamba walikuwa wanachepuka siku nyingi. Kama huyo anayefichwa ni P Square basi wakiamua kuonekana rasmi kitaa DP ataonekana alisema kweli vinginevyo P Square anaweza kuona ishakuwa noma akasepa kimoja.
Sijaziona lakini hizo herufi tatu za kujazilia kwenye lile neno 😜😜
Kuna clip P Square naona kamponda sana domo lakini body language yake tells you all....kuna kijimambo
Walikuwa na wanabinjuka kwenye nyumba ya mwenyewe
Kwa kupanic huku kwa binTukinao utajua kuna kitu anajaribu kuficha
Zari akiongea Kiswahili utafikiri hana meno kigugumizi kwa sana
Kiswahili watuachie wenyewe wenye nacho
, dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .


