warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua mange hajui kuongea vizur physically unlike akiwa anatype, yani ukitaka kichambo cha mange vizur , ngoja akutaipie, atakuchamba mpaka mshipa ya ubongo ikusimame, Ila Leo dada wa taifa kaniangusha, sio wa kuzidiwa kuchambwa na zari .
Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.
Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu , dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .
Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa
Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.
Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu , dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .
Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa