Kuna migahawa na baadhi ya hoteli ambazo ziko maeneo ya wazi ina maana nazo itabidi zifungwe maana watu huwa wakula wakionekana mahala pa waziHii ni sawa na kumwambia Mungu unataka kuacha uzinzi lakini wanawake wote waondoe duniani wasikupe tamaa ya zinaa. Mimi ninachojua ili upate thawabu lazima ushinde vishawishi wakati wa kufunga. Inakuaje unaogopa watu wasile kwa sababu yya njaa zako? Hapo hakuna funga.
Kwa miktadha wa tangazo/agizo la naibu Waziri hii ni hatari kwa wajasiriamali wadogo wadogo
Kuna migahawa na baadhi ya hoteli ambazo ziko maeneo ya wazi ina maana nazo itabidi zifungwe maana watu huwa wakula wakionekana mahala pa waziHii ni sawa na kumwambia Mungu unataka kuacha uzinzi lakini wanawake wote waondoe duniani wasikupe tamaa ya zinaa. Mimi ninachojua ili upate thawabu lazima ushinde vishawishi wakati wa kufunga. Inakuaje unaogopa watu wasile kwa sababu yya njaa zako? Hapo hakuna funga.
Kwa miktadha wa tangazo/agizo la naibu