Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Lakini ni suala ambalo lipo wazi kabisa hata waziri mkuu mstaafu Pinda Kayanza aliwahi kulitolea ufafanuzi, zaidi ya 90% ya wakazi wote ni waislamu..so hapa tunatekeleza tu 'wengi wape'...sidhani kama ni udini!
Wengi wape lakini wachache wasikilizwe pia.
 
It is the notable principle that "Uhuru wako unaishia pale ambapo haki ya mwenzio inapoanzia". Kila mtu ana haki ya kulindwa na mamlaka za nchi bila kubaguliwa.

Wakristo hata kama wangekuwa 100 tu ndani ya Zanzibar wana haki ya kuenjoy uhuru wao.Kwanini wakatazwe kula wanavyojisikia?

Kama wewe umefunga kweli huyo mtu mwingine anayekula anakuhusu nini??

Mantiki ya katazo hili ni nini? Kuhofia kutamanishwa au??
Nakubaliana nawe 100%.
 
naam wanaooana wanaume kwa wanaume chimbuko lao n Pemba tanga, Mombasa na uarabuni
jiulize sehemj hizo n himaya ya nan
Muongo bila ya aibu kuna dini tena unaijua ndio iliyoruhusu na ikatukazimisha tu fuata vinginevyo hatupati msaada khaa
 
Ngoja nitafute ule ushahidi nikuwekee hapa ndio utaamini tena wana halali sha na vyeti wanapeana
 
Sijui ni Mungu gani aliwaambia kufunga ni kulazimishana hata kwa ambao hauwahusu
Nikisoma Isaya 58/3-9 naona Waislamu hawajui kufunga maana yake ninini
inasemaje hiyo isaya 58/3-9 nahisi mkuu itakuwa umemeza sumu nataka nikuweke sawa
 
Hii la 7 imekuwa tabu sana, lakini hii inchi ni non secular state sasa inakuwaje leader anatoa tamko zito kama hilo.

Zito naona hatoi neno hapa kama tulivyomzoea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom