Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
hahaha nyie washirika wa Isis mna tabu
Isis ni taasisi iliyoanzishwa na marekani kama ilivyokuwa kwa alqaeda na wengineo lengo kubwa kuuchafua uislam kwa maslahi yao tamko la wawakilishi wa waislamu duniani limezipinga taasisi hizo na kutamka wazi kuwa uislam hausapoti ugaidi wala mauaji yoyote bila ya haki na fahamu kua gaidi ni mtu wala sio dini vit endo viovu ni vya wanadamu ila mungu ni mwema
 
Sijui ni Mungu gani aliwaambia kufunga ni kulazimishana hata kwa ambao hauwahusu
Nikisoma Isaya 58/3-9 naona Waislamu hawajui kufunga maana yake ninini


Hujaambiwa mtu kalazimishwa kufunga, umeambiwa usile nje mbele za watu wakati wa mchana . Wala hujalazimishwa kwenda Zanzibar , kama Tanganyika inavyolazimisha kuwepo muungano wa Kuvamiana .

Bakia huko huko Ugalatiani na ufakamie mbege na sima lako hapo Uwanja wa Fisi kwa raha zako na hatokuuliza mtu
 
Sijui ni Mungu gani aliwaambia kufunga ni kulazimishana hata kwa ambao hauwahusu
Nikisoma Isaya 58/3-9 naona Waislamu hawajui kufunga maana yake ninini


Isaiah 58:1-12 (King James Version),


In the-above quoted verses, God begins by addressing "the house of Jacob," i.e. the 12 tribes of Israel and condemning them for their "transgression" and "sins" (Isaiah 58:1).

Hizo aya zinawahusu wayahudi , si waislamu

Au wewe ni myahudi ???
 
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma, Khamis Juma Maalim wakati akijibu swali la mwakilishi wa jimbo la Paje, Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua serikali inatoa tahadhari gani kwa watu watakaobainika kula mchana wakati wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Alisema utamaduni wa wananchi wa Zanzibar ni kuheshimu kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa makundi yote ikiwemo wa dini tofauti. Alifahamisha kwamba utamaduni huo upo hata kabla ya Mapinduzi ya Januari 12 mwaka 1964 wa dini tofauti kuheshimu dini za watu wengine.

Alisema kazi ya kutoa elimu kuhusu ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhani imeanza kutolewa na Ofisi ya mufti ambayo ndiyo yenye jukumu la kushughulikia masuala ya mambo ya dini ya Kiislamu.

Alisema kazi kama hiyo imeanza kutolewa na maimamu wakuu wa misikiti mbalimbali Unguja na Pemba ikiwemo katika sala za Ijumaa ambazo hukusanya idadi kubwa ya Waislamu kwa wakati mmoja.

Alikiri kuwepo vijana wengi wanaoacha kufunga katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na kula hovyo pamoja na kuvuta sigara. Maalim alisema zipo taarifa kwamba hoteli nyingi hufanya kazi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo wateja wake wakubwa ni vijana wa Kiislamu. Waislamu nchini wanatazamiwa kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wiki ijayo ambapo ibada ya funga ni moja ya nguzo tano za dini ya Kiislamu


Chanzo: Habari Leo
=====================================
Nataka kujua kipindi kwa kwaresma mbona hawakutoa tamko hili.

Kwaio wakristo wawe wanajificha wakati wa chakula cha mchana.

Hapana naona kuna harufu ya udini kuanza Zanzibar.

Nani analipa hicho chakula, ni wao au ni mimi? Waache mambo ya kuingilia imani za watu. Nitakula popote nione kama nimevunja sheria gani!! Maswala ya kufunga ni iman za watu, na hazitokani na kuona chakula au kutokuona chakula, yaan naibu waziri anataka kudhihirisha kuwa waislam wanafunga mfungo mtukufu kwa kutokuona chakula? Logic ya kuzuia watu wasile hadharan siioni. Z'bar haijafika huko, huo ni utumwa na huenda huyo waziri ana matatizo yake. Akiona chakula anashindwa kuvumilia kwani? Huo utakua sio mwezi mtukufu, bali ni mwezi wa kukwepa kuona chakula mchana...
 
Tofauti ya Uislamu na Ukristo ndio iko hapo; Kwa Mkristo kwanza akifunga inatakiwa kua SIRI yake yeye na Mungu wake na pia hatakiwi kuanza kuwalemea wengine kwasababu ya FUNGA yake kwa maana ya mwajiri au hata watu wa nyumbani kwake. Tena anatakiwa kuendelea ku provide everything kwa watu wa nyumbani mwake kama kawaida Refer to Isaya sura ya 59 na pia afungapo hakiwi kuonesha mnyonge ili ahurumiwe, kwa Lugha ya Yesu hapo alitolea mfano wa Mafarisayo kwamba wafungapo hutaka watu wajue kua wamefunga but kwa mcha Mungu wa kweli Yesu alitaka iwe siri kati ya mfungaji na Mungu wake.
Kuzuia wengine wasile eti kwa kigezo cha kuwatamanisha sidhani kama kina maandiko ya Kimungu (anyway siijui sana Kurani) zaidi ya mafundisho na hofu tu za wanadamu.
NAAM

Na hiyo ndio maana ya kufunga

Sasa eti mtu anafunga na kujitangaza kila mtu ajue kuwa amefunga...kuna thawabu kweli hapo?

Mtu anaacha kufanya uzinzi na ulevi katika mfungo wa ramadhani kisha ramadhani ikiisha anaendelea na uzinzi wake

Huyo mtu si bora asifunge?

Hii dini inayofuata matukio hii [emoji23]
 
ni vitu gani ukifanya vinabatilisha mfungo wako wa kwaresma,

kwaresma unafunga masaa mangapi
Kwaresma ni mfungo usioruhusu mtu kuamka asubuhi na mapema saa kumi kubugia daku kisha tena unakula saa 12

Hiyo si kufunga bali ni kubadilisha tu muda wa kula

Umeona eeh...!
 
Tatizo elimu, akili na uelewa dhaifu wa dini yao wenyewe.
 
Hivi jamani ni kweli kwamba hatuna akili au tunajitia Ukichaa kwa makusudi kwa sababu ya Ushabiki wa kidini na kupuuza imani za watu Wengine. Wasiokuwa waislam hawajakatazwa kula wala hawajaamrishwa kufunga bali wamekatazwa KULA HADHARANI.
 
Dini ya kweli haihitaji nguvu nyingi na kuweka masheria ya ajabu ajabu kuwabana watu. Watu wenyewe wataheshim tu tamaduni zao bila hata kufanya nguvu nyingi hadi bungeni!!! Mmm! Udini upo wa hali ya juu sana ZENJ toka enzi na enzi hilo linafahamika wala halina ubishi.
 
Pia inabidi maduka yanayouza vyakula vinavyotamanisha watu yafungungwe wakati wa mchanana kufunguliwa muda futari tu.Kumbuka Zanzibar ni nchi huru ndani ya Muungano na dini sio jambo la Muungano.
 
Tusiwe na wakati wa kulumbana na hawa watu. Tunaona ujinga na wanavyofanywa wapumbavu na akina gwajima, bushiri sijui mi askofu na kila mmoja anawalia pesa kwenda. Leo hii unadai wana miujiza kuna mwingine zimbabwe anazungumza na huyo mungu wao kwa simu yaani ni vituko kwenda za hao "viongozi" wao. Hawa wenyewe dini yao imewaruhusu zinaa kabla ya ndoa wameruhusiwa kufirana waume kwa waume wameruhusiwa wanawake wasagane na ndia jinsi moja kwao ni poa tu.
 
Leo hii tunaona junsi mataifa ya magharibi yanavyofanya mauaji katika nchi za kiarabu kwa kuwapiga mabomu na kupeleka wanajeshi wao kuwatawala kimabavu. Na ukijaribu kupigana nao kupinga hayo unaitwa gaidi siasa kali.
 
Hii ni sawa na kumwambia Mungu unataka kuacha uzinzi lakini wanawake wote waondoe duniani wasikupe tamaa ya zinaa. Mimi ninachojua ili upate thawabu lazima ushinde vishawishi wakati wa kufunga. Inakuaje unaogopa watu wasile kwa sababu yya njaa zako? Hapo hakuna funga.
 
Halaf
Hii ni sawa na kumwambia Mungu unataka kuacha uzinzi lakini wanawake wote waondoe duniani wasikupe tamaa ya zinaa. Mimi ninachojua ili upate thawabu lazima ushinde vishawishi wakati wa kufunga. Inakuaje unaogopa watu wasile kwa sababu yya njaa zako? Hapo hakuna funga.
Halafu ambae eti kafunga amevimbiwa hadi jioni kwa avyoshindiria tumboni usiku kucha, halafu wewe wa imani nyingine ulielala bila kula ukionekana unakunya kikombe cha chai unafungwa hadi ramadhani ya mwaka mwingine. Tume ya haki za binadamu mmekuwa wa siasa tu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom