Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.
A rational thinking!, Ila Mkuu uamuzi wa Zanzibar kujitoa katika muungano si wa Wananchi pekee, hata asilimia 101 wakitaka kujitoa haitawezekana hata kidogo!