5. Kwa uchumi wa bilioni 500, wabara wanafaidika nini kutoka Zanzibar? Hii ni sawa na bajeti ya wizara ya akina mama na watoto au mapato ya soko la kariakoo.
Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.
Hakuna rais yeyote wa CCM atakayethubutu kuuvunja muungano, awe wa Bara au Zanzibar.
waulize .C.C.M watakijibu
tumechoka we na tumeshindwa twamuomba mungu atusaidie kuondokana na koloni la tanganyika
Nacheka sana nikiangalia Ilala, Magomeni, Kariakoo,tandika, kitope,fuoni, tomondo,bububu! Ntacheka sana nikiangalia namna wabara watakavyofanya kule kariakoo, ntacheka sana namna itapofika zamu ya kuchagua uraia kwa cc twenye baba zenj,mama singida-maisha dar-maziko mchangani! Spati picha kwa walioajiriwa bara kujenga zenj, Spati picha kwa jinsi vyeti vya kuzaliwa vitakavyochakachuliwa kulinda viwanja vyao zenj na pia kutetea ukuu wa wilaya-Duh spati picha japo move naihisi, haya bibi yangu turudi zetu kwetu biashara ishachacha! Nataka zenj tujitoe utumwani bt (frankly) we gonna suffer mostly than wadanganyika.
Hili wala si tatizo; kwa vile tunaenda kuzungumzia Katiba Mpya ni vizuri Zanzibar waje na hoja ya kupiga kura ya maoni kama wanataka kubakia kwenye Muungano au watoke. Asilimia 60 ya Wazanzibari wakikubali kutoka basi tunawashika mkono wa kheri na tutawasaidia kulipa madeni yenu na kuwapiga jeki kidogo ili muanzie pazuri.
baada ya marekebisho ya katiba ya mwaka jana yaliyofanyika tayari mlishajitenga kasoro jina ndio limebaki kuonyesha kuwa kuna muungano ila mmeng'ang'ania nafasi nyingi za ajira bara za kisiasa na za serikalini mmepora ardhi nyingi bara hata mashamba ya mipunga kyela kwa kuwapa hela kiduchu wakulima mmetengeneza uchochoro mkubwa wa bidhaa feki zilizopo bara na ndio chanzo cha ukosefu wa mapato bara ya TRA mmekuwa wasafirishaji wa mazao ya misitu kutoka bara kupitia bandari bubu kwa kweli hata sisi tunaona huu muungano ni biashara kichaa tumieni mwanya wa marekebisho ya katiba kubadilisha jina ili muitwe jamhuri ya zanzibar tuachane kabisa