wakuu habari, naomba msaada kwa aliye na uzoefu au taarifa sahihi za chuo hiki anisaidie. campus life, ubora na unafuu wa msisha nje au ndani ya chuo.
nahitaji kumpeleka mtu kule je tution fee na gharama zinginezikoje. tovuti yao haifunguki, pia dedline na qualifications za kudahiliwa pale zikoje. ni vema kama kuna ushauri au maelezo udiyotaka kuyaweka wazi naombauni PM ntakufta jwa taarifa zaidi
nahitaji kumpeleka mtu kule je tution fee na gharama zinginezikoje. tovuti yao haifunguki, pia dedline na qualifications za kudahiliwa pale zikoje. ni vema kama kuna ushauri au maelezo udiyotaka kuyaweka wazi naombauni PM ntakufta jwa taarifa zaidi