Pamoja na Stadi zote hizi, Bado ni changamoto kupata kazi

mtoto mdogo sana

JF-Expert Member
Apr 16, 2020
460
1,337
Habari za wakati huu.
Natumai Wote wazima, mimi pia.
Kwa wenye changamoto za kiafya nawatakia nafuu ya mapema.

Bila shaka huu ni uzi wangu wa tatu, wenye maudhui haya ya kutafuta kazi. Lakini nafsi inaniambia nisichoke kue.delea kutafuta.

Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Elimu jamii (Bachelor of Arts with Education) na nimefanya "kozi" za Linguistics na Literature hali inayonipelekea kuwa mwalimu wa Masomo ya Lugha ya Kiingereza, yaani Sarufi na Fasihi ya kiingereza.

Ninao uzoefu kufundisha japo sio sana ila pia muda mwingi tangu nilipomaliza masomo yangu ya chuo kikuu nimekuwa nikifanya shughuli nyingine tofauti na ualimu kutokana na Stadi mbali mbali nilizozipata kadiri nilivoishi.

Mbali na ualimu ambao ndio kada yangu niliyosomea na kubobea. Pia ni
Graphics Designer
(Natumia Photoshop na Illustrator)
kwa kipengele hiki pia nina uzoefu na uwezo mzuri sana. Ni Adobe Verified User na nimekuwa niki-design tangu 2018. Kwa hiyo. Najua viziri nachokifanya

Sales and Marketing
Kipengele hiki nina uzoefu nacho kwa muda pia. Nikiwa chuoni nilikuwa University Sales supervisor. Nilipata uzoefu na nikajifunza mbinu mbali mbali za kimauzo. Hata baada ya masomo. Niliporudi mtaani nilikaa duka fulani na nilifanya kazi kwa weledi mkubwa huku nikipewa mrejesho chanya juu ya uwezo wangu wa kuhudumia wateja. Pia stadi ya usanifu wa picha (graphics) hukipa kipengele hiki nguvu.

Shughuli Za "steshenari"
Ninao uzoefu wa utumiaji wa vifaa vya uchapaji uuzaji na ubunifu wa huduma za ki-steshenari. Nimefanya kwa muda. Ukizingatia pia Graphics ndio huipa thamani sana kazi hii lakini ninajua na uzoefu wa kuendesha mashine na vifaa vyake.

Huduma kwa Wateja
Nina uzoefu wa kazi hii. Nimefanya na naijua vema ambapo nilikuwa nahudumia wateja wa nchi tofauti tofauti kwa njia ya Email, mifumo ya kimtandao kupitia tovuti, Simu na kwa njia ya WhatsApp na meseji za kawaida. Uwezo wangu wa kuzungumza lugha ya kiingereza kwa ufasaha na kushughulikia matini kwa muda uliniongezea sifa kipengele hiki.

Web Designing.
Waswahili husema "mtanga na jua hujuwa". Katika shughuli zangu mbali mbali nilipata nafasi ya kujifunza jambo hili japo najua lugha 3; HTML, CSS na JAVASCRIPT. Hizi angalau zinanifanya kutengeneza na kusoma mifumo ya kimtandao aghalabu kutatua changamoto zilizopo kwenye mifumo na domain mbali mbali.

Amini usiamini, pamoja na hayo yote. Leo nipo hapa sijapata ajira ya kudumu zaidi ya vibarua vya muda mfupi visivyokuwa na mkataba ambavyo hata hivo huisha baada ya muda.

Naamini ipo siku mtu atausoma uzi huu. Atagundua potential yangu na ataguswa kuniunganisha na mhitaji wa huduma au kazi nazozifanya.

Kuhusu umri wangu ni wa katikati ya miaka ya 20 na 30 na nilimaliza masomo ya chuo kikuu mwaka 2020.

Mimi ni mwaminifu na sina tamaa wala tabia za kiuharibifu. Huishi au kufanya kazi na mtu sawasawa na mfumo nilioukuta siku ninapokutana nae. Sio mjuaji wala mkosoaji.

Kama una kazi au kibarua.

Nipo hapa.
 
Habari za wakati huu.
Natumai Wote wazima, mimi pia.
Kwa wenye changamoto za kiafya nawatakia nafuu ya mapema.

Bila shaka huu ni uzi wangu wa tatu, wenye maudhui haya ya kutafuta kazi. Lakini nafsi inaniambia nisichoke kue.delea kutafuta.

Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Elimu jamii (Bachelor of Arts with Education) na nimefanya "kozi" za Linguistics na Literature hali inayonipelekea kuwa mwalimu wa Masomo ya Lugha ya Kiingereza, yaani Sarufi na Fasihi ya kiingereza.

Ninao uzoefu kufundisha japo sio sana ila pia muda mwingi tangu nilipomaliza masomo yangu ya chuo kikuu nimekuwa nikifanya shughuli nyingine tofauti na ualimu kutokana na Stadi mbali mbali nilizozipata kadiri nilivoishi.

Mbali na ualimu ambao ndio kada yangu niliyosomea na kubobea. Pia ni
Graphics Designer
(Natumia Photoshop na Illustrator)
kwa kipengele hiki pia nina uzoefu na uwezo mzuri sana. Ni Adobe Verified User na nimekuwa niki-design tangu 2018. Kwa hiyo. Najua viziri nachokifanya

Sales and Marketing
Kipengele hiki nina uzoefu nacho kwa muda pia. Nikiwa chuoni nilikuwa University Sales supervisor. Nilipata uzoefu na nikajifunza mbinu mbali mbali za kimauzo. Hata baada ya masomo. Niliporudi mtaani nilikaa duka fulani na nilifanya kazi kwa weledi mkubwa huku nikipewa mrejesho chanya juu ya uwezo wangu wa kuhudumia wateja. Pia stadi ya usanifu wa picha (graphics) hukipa kipengele hiki nguvu.

Shughuli Za "steshenari"
Ninao uzoefu wa utumiaji wa vifaa vya uchapaji uuzaji na ubunifu wa huduma za ki-steshenari. Nimefanya kwa muda. Ukizingatia pia Graphics ndio huipa thamani sana kazi hii lakini ninajua na uzoefu wa kuendesha mashine na vifaa vyake.

Huduma kwa Wateja
Nina uzoefu wa kazi hii. Nimefanya na naijua vema ambapo nilikuwa nahudumia wateja wa nchi tofauti tofauti kwa njia ya Email, mifumo ya kimtandao kupitia tovuti, Simu na kwa njia ya WhatsApp na meseji za kawaida. Uwezo wangu wa kuzungumza lugha ya kiingereza kwa ufasaha na kushughulikia matini kwa muda uliniongezea sifa kipengele hiki.

Web Designing.
Waswahili husema "mtanga na jua hujuwa". Katika shughuli zangu mbali mbali nilipata nafasi ya kujifunza jambo hili japo najua lugha 3; HTML, CSS na JAVASCRIPT. Hizi angalau zinanifanya kutengeneza na kusoma mifumo ya kimtandao aghalabu kutatua changamoto zilizopo kwenye mifumo na domain mbali mbali.

Amini usiamini, pamoja na hayo yote. Leo nipo hapa sijapata ajira ya kudumu zaidi ya vibarua vya muda mfupi visivyokuwa na mkataba ambavyo hata hivo huisha baada ya muda.

Naamini ipo siku mtu atausoma uzi huu. Atagundua potential yangu na ataguswa kuniunganisha na mhitaji wa huduma au kazi nazozifanya.

Kuhusu umri wangu ni wa katikati ya miaka ya 20 na 30 na nilimaliza masomo ya chuo kikuu mwaka 2020.

Mimi ni mwaminifu na sina tamaa wala tabia za kiuharibifu. Huishi au kufanya kazi na mtu sawasawa na mfumo nilioukuta siku ninapokutana nae. Sio mjuaji wala mkosoaji.

Kama una kazi au kibarua.

Nipo hapa.
Upo mkoa gani mkuu, mm sina kazi ya kukupa ila nataka tuanzishe kiwanda kidogo nitakuwa nakupa commision kwenye faida.ila nipo mkoani
 
Skia naona una potential, mimi ni graduate kama wewe kwahiyo i feel your pain, nataka ntengeze book cover ya ebook naona hapo umesema graphics! hii offer nampa muhindi sasa hivi! Yeye anakula $ 5, can you do it? Upate pesa ya vocha ASAP mtoto mdogo sana
ECAB8AC8-7C7D-4D95-A8B8-0A69DAF08FE6.jpeg
 
Habari za wakati huu.
Natumai Wote wazima, mimi pia.
Kwa wenye changamoto za kiafya nawatakia nafuu ya mapema.

Bila shaka huu ni uzi wangu wa tatu, wenye maudhui haya ya kutafuta kazi. Lakini nafsi inaniambia nisichoke kue.delea kutafuta.

Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Elimu jamii (Bachelor of Arts with Education) na nimefanya "kozi" za Linguistics na Literature hali inayonipelekea kuwa mwalimu wa Masomo ya Lugha ya Kiingereza, yaani Sarufi na Fasihi ya kiingereza.

Ninao uzoefu kufundisha japo sio sana ila pia muda mwingi tangu nilipomaliza masomo yangu ya chuo kikuu nimekuwa nikifanya shughuli nyingine tofauti na ualimu kutokana na Stadi mbali mbali nilizozipata kadiri nilivoishi.

Mbali na ualimu ambao ndio kada yangu niliyosomea na kubobea. Pia ni
Graphics Designer
(Natumia Photoshop na Illustrator)
kwa kipengele hiki pia nina uzoefu na uwezo mzuri sana. Ni Adobe Verified User na nimekuwa niki-design tangu 2018. Kwa hiyo. Najua viziri nachokifanya

Sales and Marketing
Kipengele hiki nina uzoefu nacho kwa muda pia. Nikiwa chuoni nilikuwa University Sales supervisor. Nilipata uzoefu na nikajifunza mbinu mbali mbali za kimauzo. Hata baada ya masomo. Niliporudi mtaani nilikaa duka fulani na nilifanya kazi kwa weledi mkubwa huku nikipewa mrejesho chanya juu ya uwezo wangu wa kuhudumia wateja. Pia stadi ya usanifu wa picha (graphics) hukipa kipengele hiki nguvu.

Shughuli Za "steshenari"
Ninao uzoefu wa utumiaji wa vifaa vya uchapaji uuzaji na ubunifu wa huduma za ki-steshenari. Nimefanya kwa muda. Ukizingatia pia Graphics ndio huipa thamani sana kazi hii lakini ninajua na uzoefu wa kuendesha mashine na vifaa vyake.

Huduma kwa Wateja
Nina uzoefu wa kazi hii. Nimefanya na naijua vema ambapo nilikuwa nahudumia wateja wa nchi tofauti tofauti kwa njia ya Email, mifumo ya kimtandao kupitia tovuti, Simu na kwa njia ya WhatsApp na meseji za kawaida. Uwezo wangu wa kuzungumza lugha ya kiingereza kwa ufasaha na kushughulikia matini kwa muda uliniongezea sifa kipengele hiki.

Web Designing.
Waswahili husema "mtanga na jua hujuwa". Katika shughuli zangu mbali mbali nilipata nafasi ya kujifunza jambo hili japo najua lugha 3; HTML, CSS na JAVASCRIPT. Hizi angalau zinanifanya kutengeneza na kusoma mifumo ya kimtandao aghalabu kutatua changamoto zilizopo kwenye mifumo na domain mbali mbali.

Amini usiamini, pamoja na hayo yote. Leo nipo hapa sijapata ajira ya kudumu zaidi ya vibarua vya muda mfupi visivyokuwa na mkataba ambavyo hata hivo huisha baada ya muda.

Naamini ipo siku mtu atausoma uzi huu. Atagundua potential yangu na ataguswa kuniunganisha na mhitaji wa huduma au kazi nazozifanya.

Kuhusu umri wangu ni wa katikati ya miaka ya 20 na 30 na nilimaliza masomo ya chuo kikuu mwaka 2020.

Mimi ni mwaminifu na sina tamaa wala tabia za kiuharibifu. Huishi au kufanya kazi na mtu sawasawa na mfumo nilioukuta siku ninapokutana nae. Sio mjuaji wala mkosoaji.

Kama una kazi au kibarua.

Nipo hapa.
Tatizo hauna consistency.. Yani wewe kama wewe bado hujajua unataka nini

Sio kila kitu unafanya tu.. Alafu unaona sifa
 
Tatizo hauna consistency.. Yani wewe kama wewe bado hujajua unataka nini

Sio kila kitu unafanya tu.. Alafu unaona sifa
Habari Mkuu.
Exposure ndio hunifanya napata hizo skills zingine. Mitaa haijawahi kumpa mtu chaguo. Sio kwamba naona sifa, hapana. Pia uzuri ni kuwa namudu vema kufanya chochote kati ya nilivyovitaja. Natafuta tu pa kukamata nitulie
 
Una mengi.. kwanini hautaki kuendesha wewe upate watu kazi?
Ni kweli. Nafanyia kazi suala la brand yangu itakayotoa huduma ni azozimudu.
Ila pia, wazo la kufanya mimi kama mm huwa lipo ila tambua kuwa huwa hatujiandai kuishi kabla ya kuanza kuishi. Maisha yako "live" wakati tukijiandaa na kujipanga kufanya mambo fulani kwenye maisha yetu ni lazima tuhakikishe tunaishi pia.
 
Habari za wakati huu.
Natumai Wote wazima, mimi pia.
Kwa wenye changamoto za kiafya nawatakia nafuu ya mapema.

Bila shaka huu ni uzi wangu wa tatu, wenye maudhui haya ya kutafuta kazi. Lakini nafsi inaniambia nisichoke kue.delea kutafuta.

Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Elimu jamii (Bachelor of Arts with Education) na nimefanya "kozi" za Linguistics na Literature hali inayonipelekea kuwa mwalimu wa Masomo ya Lugha ya Kiingereza, yaani Sarufi na Fasihi ya kiingereza.

Ninao uzoefu kufundisha japo sio sana ila pia muda mwingi tangu nilipomaliza masomo yangu ya chuo kikuu nimekuwa nikifanya shughuli nyingine tofauti na ualimu kutokana na Stadi mbali mbali nilizozipata kadiri nilivoishi.

Mbali na ualimu ambao ndio kada yangu niliyosomea na kubobea. Pia ni
Graphics Designer
(Natumia Photoshop na Illustrator)
kwa kipengele hiki pia nina uzoefu na uwezo mzuri sana. Ni Adobe Verified User na nimekuwa niki-design tangu 2018. Kwa hiyo. Najua viziri nachokifanya

Sales and Marketing
Kipengele hiki nina uzoefu nacho kwa muda pia. Nikiwa chuoni nilikuwa University Sales supervisor. Nilipata uzoefu na nikajifunza mbinu mbali mbali za kimauzo. Hata baada ya masomo. Niliporudi mtaani nilikaa duka fulani na nilifanya kazi kwa weledi mkubwa huku nikipewa mrejesho chanya juu ya uwezo wangu wa kuhudumia wateja. Pia stadi ya usanifu wa picha (graphics) hukipa kipengele hiki nguvu.

Shughuli Za "steshenari"
Ninao uzoefu wa utumiaji wa vifaa vya uchapaji uuzaji na ubunifu wa huduma za ki-steshenari. Nimefanya kwa muda. Ukizingatia pia Graphics ndio huipa thamani sana kazi hii lakini ninajua na uzoefu wa kuendesha mashine na vifaa vyake.

Huduma kwa Wateja
Nina uzoefu wa kazi hii. Nimefanya na naijua vema ambapo nilikuwa nahudumia wateja wa nchi tofauti tofauti kwa njia ya Email, mifumo ya kimtandao kupitia tovuti, Simu na kwa njia ya WhatsApp na meseji za kawaida. Uwezo wangu wa kuzungumza lugha ya kiingereza kwa ufasaha na kushughulikia matini kwa muda uliniongezea sifa kipengele hiki.

Web Designing.
Waswahili husema "mtanga na jua hujuwa". Katika shughuli zangu mbali mbali nilipata nafasi ya kujifunza jambo hili japo najua lugha 3; HTML, CSS na JAVASCRIPT. Hizi angalau zinanifanya kutengeneza na kusoma mifumo ya kimtandao aghalabu kutatua changamoto zilizopo kwenye mifumo na domain mbali mbali.

Amini usiamini, pamoja na hayo yote. Leo nipo hapa sijapata ajira ya kudumu zaidi ya vibarua vya muda mfupi visivyokuwa na mkataba ambavyo hata hivo huisha baada ya muda.

Naamini ipo siku mtu atausoma uzi huu. Atagundua potential yangu na ataguswa kuniunganisha na mhitaji wa huduma au kazi nazozifanya.

Kuhusu umri wangu ni wa katikati ya miaka ya 20 na 30 na nilimaliza masomo ya chuo kikuu mwaka 2020.

Mimi ni mwaminifu na sina tamaa wala tabia za kiuharibifu. Huishi au kufanya kazi na mtu sawasawa na mfumo nilioukuta siku ninapokutana nae. Sio mjuaji wala mkosoaji.

Kama una kazi au kibarua.

Nipo hapa.
bro nashauri,kuanzia sasa hesabu kuwa kazi za muda mfupi ndo kazi zako then anza kuishi utaona zinakuwa nyingi na unafanya maendeleo,ukisema unajishikiza mafanikio nayo yanajishikiza kama unavyofanya
 
bro nashauri,kuanzia sasa hesabu kuwa kazi za muda mfupi ndo kazi zako then anza kuishi utaona zinakuwa nyingi na unafanya maendeleo,ukisema unajishikiza mafanikio nayo yanajishikiza kama unavyofanya
Nakuelewa mzee. Ugumu unaanzia kwenye community nayoishi nayo. Sikupata bahati kukulia na ku connect na consumers wa mambo nayoyafanya.
Kupata hata wateja ni apofanya freelancing ni mbinde.
Ndio maana najaribu kutafuta pa kuanzia.

Skills ninazo... Ideas ninazo tatizo sina base wala mtaji.
 
Back
Top Bottom