Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE

Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw. Nape Moses Nnauye nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.

Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi Butimba TCC (Butimba teacher's college).

Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.

Ukweli ni kwamba Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania halijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "Butimba TCC Secondary School".

Butimba TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.

Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (kutwa) ya Butimba Secondary School (Butimba Day) ambayo kidato cha kwanza waliingia mwaka 2000 na kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.

Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya Butimba TCC.

Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma Butimba TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.

Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye, picha ya pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.

Naomba kuwasilisha.

Namalizia utafiti kuhusu Shahada ya Sheria pale Open University of Tanzania anayosoma Nape Moses Nnauye.

Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za direct entry za;

1. "Principal mbili" za Advanced Certificate of Secondary School?

2. Credit mbili za O-level (History na English language)

(Inawezekanaje mwanafunzi huyo) kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU?

3. Au mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya Sheria? Au mtafuta kuwapa lawama Law School Tanzania

Kaka ana madiploma mengiiiiiiiii lakini hayana uzito!

4. Au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU, siyo kama Bangalore Universitu of India? 😂😂😂

La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya kujiunga na elimu ya juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania wengine?

20231213_102652.jpg
20231213_102648.jpg
 
Hivi vyuo zamani vilikuwa vimesajiliwa kama vituo vya mitihani Kwa ajili ya watahiniwa binafsi yaani private candidates na vilisaidia wengi hasa wale waliokosoa ada na wale waliokuwa wamekosa nafasi ya kuchaguliwa moja Kwa moja kwenda A level shule za serikali.

Nape ni mmoja wa wanufaika wa mpango huu ambao upo kisheria. Mara nyingi watu wanajiandaa na mtihani sehemu tofautitofauti na mnakutana tu wakati wa mitihani.

Hao aliosoma nao huo mwaka hata awatafute vipi hatafanikiwa kuwaona isipokuwa Wachache waliokuwa wanamjua. Zaidi hoja yako ina dhamira ya kumchafua kisiasa na si vinginevyo
 
Hapa ukichangia vibaya kichwakichwa inakula huyu ndiyo anaamua nani akikomentiwa vibaya watu washikwe
Tunajiumiza vichwa bure! Utaratibu wa Chama chetu, ni kuwa, sifa mojawapo ya kugombea U Rais, ni lazima uwe na japo Digirii moja. Na hiyo sifa, ilimkimbiza mzee wa Kiraracha, Mrema.
Sasa jee, huyu Rais wetu, wakati anaukwaa U Rais, alikuwa na Elimu hiyo?
Gari linakwenda, tushukuru tunasafiri salama tu!
 
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.

Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye

Nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL katika shule ya BUTIMBA TCC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.

Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college).

Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.

Ukweli ni kwamba BUTIMBA TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania alijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "BUTIMBA TCC SECONDARY SCHOOL"

BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na Kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.

Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (Kutwa) ya BUTIMBA SEKONDARI SCHOOL (BUTIMBA DAY) ambayo kidacho cha Kwanza waliingia mwaka 2000 na Kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.

Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 Mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya BUTIMBA TCC.

Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma BUTIMBA TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.

Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye,Picha ya Pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.

Naomba kuwasilisha.

NAMALIZIA UTAFITI kuhusu Shahada ya Sheria pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA anayosoma Nape Moses Nnauye.

Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za Direct Entry za
1."Principal mbili" za ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL ..?

2. Credit mbili za O-level ( History na English language Kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU..?

3. au Mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya sheria..?

Au mtafuta kuwapa lawama LAW SCHOOL OF TANZANIA..,

( Kaka ana madiploma Mengiiiiiiiii lakini hayana uzito)

4. au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU...? Siyo kama BANGALORE UNIVERSITY YA INDIA 😂😂😂

La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya Kujiunga na elimu ya Juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania Wengine..?
View attachment 2841228View attachment 2841229

Nadhani alikuwa private candidate. Ila najiuliza Kuna hizo diploma za mwaka mmoja mmoja ni za wapi?
 
Tunajiumiza vichwa bure! Utaratibu wa Chama chetu, ni kuwa, sifa mojawapo ya kugombea U Rais, ni lazima uwe na japo Digirii moja. Na hiyo sifa, ilimkimbiza mzee wa Kiraracha, Mrema.
Sasa jee, huyu Rais wetu, wakati anaukwaa U Rais, alikuwa na Elimu hiyo?
Gari linakwenda, tushukuru tunasafiri salama tu!
Umeanza Kuleta Mafumbo Sasa Yaani 2025 Chama Chetu Kwamba Hakina Mtu
 
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.

Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye

Nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL katika shule ya BUTIMBA TCC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.

Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college).

Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.

Ukweli ni kwamba BUTIMBA TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania alijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "BUTIMBA TCC SECONDARY SCHOOL"

BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na Kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.

Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (Kutwa) ya BUTIMBA SEKONDARI SCHOOL (BUTIMBA DAY) ambayo kidacho cha Kwanza waliingia mwaka 2000 na Kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.

Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 Mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya BUTIMBA TCC.

Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma BUTIMBA TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.

Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye,Picha ya Pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.

Naomba kuwasilisha.

NAMALIZIA UTAFITI kuhusu Shahada ya Sheria pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA anayosoma Nape Moses Nnauye.

Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za Direct Entry za
1."Principal mbili" za ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL ..?

2. Credit mbili za O-level ( History na English language Kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU..?

3. au Mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya sheria..?

Au mtafuta kuwapa lawama LAW SCHOOL OF TANZANIA..,

( Kaka ana madiploma Mengiiiiiiiii lakini hayana uzito)

4. au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU...? Siyo kama BANGALORE UNIVERSITY YA INDIA 😂😂😂

La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya Kujiunga na elimu ya Juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania Wengine..?
View attachment 2841228View attachment 2841229
Wanasiasa wameanza kuparurana na kufanyiana siasa chafu.
 
Back
Top Bottom