Nimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo.
Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo michongo ya ajira, masuala ya ununuzi wa bidhaa, mazingira ya kibiashara, masuala ya makaazi, guest houses na mikahawa kwa wanaokwenda kimatembezi pamoja na changamoto nyingengine nyingi za kimaisha, Na pia kuwasaidia muongoza kwa wale wanaohamia sasa au wanaokwenda kutembea ambao hawana wenyeji.
Natarajia watajitokeza wengi wenye uzoefu zaidi kuchangia mada hii.
Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo michongo ya ajira, masuala ya ununuzi wa bidhaa, mazingira ya kibiashara, masuala ya makaazi, guest houses na mikahawa kwa wanaokwenda kimatembezi pamoja na changamoto nyingengine nyingi za kimaisha, Na pia kuwasaidia muongoza kwa wale wanaohamia sasa au wanaokwenda kutembea ambao hawana wenyeji.
Natarajia watajitokeza wengi wenye uzoefu zaidi kuchangia mada hii.