sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,206
- 8,041
Unaishi huko?Karibu Zanzibar.
Unaishi huko?Karibu Zanzibar.
Asante sana.Kareeb sana. December kunanoga
Itakuwa poa.Mie pia nitakuwa huko mwezi December kama vipi tutafutane.
Na taratibu zake za kumiliki ardhi zikoje kwa sisi ambao siyo Wazanzibari Wakaazi?
Natambua kwa upande wa Bara, ni pesa yako tu. Hakuna ubaguzi wowote ule kwa Watanzania wa pande zote za Muungano.
Kiongozi siku hizi guest bubu zipo kibao tu pale kisauni kuna wachaga wamefungua guest zipo kama tatu karibu karibu na bei ni nafuu sana mpaka elfu 5 kwa short time.
Kwanini usinunue uko uliko?
Kiongozi siku hizi guest bubu zipo kibao tu pale kisauni kuna wachaga wamefungua guest zipo kama tatu karibu karibu na bei ni nafuu sana mpaka elfu 5 kwa short time.
👉🏾Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?.
Mkuu umewahi kuibiwa kwani?MI Nataka bidhaa kutoka huko Zanzibar ila siku hizi Watu wakule wamekuwa wezi Sana
Natafuta pesa niende kutalii huko mwezi desemba.
Kwamba Wazenji sio waaminifu??!!!.
Kuna jamaa nataka nimloge kabisa kanitapeli huko huko Zenji
KISINGIZIO CHAO UTASIKIA NI UVUNJIFU WA AMANI!!!!Moderator kwa akili zao zilivyo wanaweza kufuta huu uzi.
Bongo landsiku hizi wezi wamekua wengi sana, na kuna wengine hata sio wazenj, wapo zao temeke wametulia unapigwa sound kama wapo Zenj huku ukihadaiwa kwa namba ya Zantel.
Hata huku hakuna ubaguzi. Pesa yako tuNa taratibu zake za kumiliki ardhi zikoje kwa sisi ambao siyo Wazanzibari Wakaazi?
Natambua kwa upande wa Bara, ni pesa yako tu. Hakuna ubaguzi wowote ule kwa Watanzania wa pande zote za Muungano.
Nimepewa mchongo pia kuna viwanja Maeneo ya Mwera-Kibondemaji vipo viwanja Mil 7 mpaka 6Vinapatikana. Maeneo mengi kwa sasa kwenye viwanja ni kuanzia mitondooni, kisauni, maungani, kombeni na kwenda mbele huko.
Bei jipange walau kuanzia m25
Unaongelea Zenj ipi mkuu?Afadhali umefikilia kuweka mada ya wazenjibar, japo wenyewe wamelala maana walikuwa hawana sehemu maalum iliyopo ndani ya jukwaa as muungano.
Naendelea na hili hapa...
Kwanza guest houses kwa unguja ni shida sana kupata kulingana na eneo unalotaka kustay, itakulazimu upate chumba (mfano) darajani alafu shuhuli zako ziwe ZU.
Wenyeji hawapendi Mtanganyika apange kwenye nyumba zao tena akiwa jisnia ya kiume bora wa kike anafikiliwa.
Ubinafsi ni mkubwa sana, ukifahamika umetoka bara, labda utoe product bora/nzuri kuliko ila unapigwa juju mapema asubuhi!.
Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?.
Na ...
Na hata huku ni ivo ivo huulizwi chochote mradi uwe na pesa tuNa taratibu zake za kumiliki ardhi zikoje kwa sisi ambao siyo Wazanzibari Wakaazi?
Natambua kwa upande wa Bara, ni pesa yako tu. Hakuna ubaguzi wowote ule kwa Watanzania wa pande zote za Muungano.
Vzur Ni mtazamo wako btwZenji naonaga kwa vilaza na wavivu watu wenye chuki..wanajikuta kwao omani kumbe wala viazi mbatata vya iringa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app