Zanzibar | Special Thread

Na taratibu zake za kumiliki ardhi zikoje kwa sisi ambao siyo Wazanzibari Wakaazi?

Natambua kwa upande wa Bara, ni pesa yako tu. Hakuna ubaguzi wowote ule kwa Watanzania wa pande zote za Muungano.

Mkuu ukiwa si mzanzibari sheria hazikuruhusu wewe kumiliki Ardhi, ila watu wengi wananunua Ardhi mana kipande cha mzanzibar hua kinapatikana kimichongo.

Ila nihatari mana serekali siku ikiamka vibaya unaweza kuja kupoteza mali zako mana ulizimiliki kinyume na sheria.
 
Kiongozi siku hizi guest bubu zipo kibao tu pale kisauni kuna wachaga wamefungua guest zipo kama tatu karibu karibu na bei ni nafuu sana mpaka elfu 5 kwa short time.

gharama zake zikoje mkuu
 
Kiongozi siku hizi guest bubu zipo kibao tu pale kisauni kuna wachaga wamefungua guest zipo kama tatu karibu karibu na bei ni nafuu sana mpaka elfu 5 kwa short time.

Na ni kisauni sehemu gani? ni karibu na Pale wanaita kwa mama Terry?
 
Na taratibu zake za kumiliki ardhi zikoje kwa sisi ambao siyo Wazanzibari Wakaazi?

Natambua kwa upande wa Bara, ni pesa yako tu. Hakuna ubaguzi wowote ule kwa Watanzania wa pande zote za Muungano.
Hata huku hakuna ubaguzi. Pesa yako tu
 
Afadhali umefikilia kuweka mada ya wazenjibar, japo wenyewe wamelala maana walikuwa hawana sehemu maalum iliyopo ndani ya jukwaa as muungano.

Naendelea na hili hapa...
Kwanza guest houses kwa unguja ni shida sana kupata kulingana na eneo unalotaka kustay, itakulazimu upate chumba (mfano) darajani alafu shuhuli zako ziwe ZU.

Wenyeji hawapendi Mtanganyika apange kwenye nyumba zao tena akiwa jisnia ya kiume bora wa kike anafikiliwa.

Ubinafsi ni mkubwa sana, ukifahamika umetoka bara, labda utoe product bora/nzuri kuliko ila unapigwa juju mapema asubuhi!.

Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?.

Na ...
Unaongelea Zenj ipi mkuu?
 
Back
Top Bottom