Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,580
- 1,622
Kanirudisha nyuma sanaUsichukue hatua hizo mkuu, sio jambo zuri
Kanirudisha nyuma sanaUsichukue hatua hizo mkuu, sio jambo zuri
Mwera-Kibondemaji ndio wapi huko mkuu? ndio kwanza napasikiaNimepewa mchongo pia kuna viwanja Maeneo ya Mwera-Kibondemaji vipo viwanja Mil 7 mpaka 6
Ulicho_reply kinahakisi akili yako inachofikilia muda wote.Kiongozi siku hizi guest bubu zipo kibao tu pale kisauni kuna wachaga wamefungua guest zipo kama tatu karibu karibu na bei ni nafuu sana mpaka elfu 5 kwa short time.
Kwani Zanzibar zipo ngapi?.Unaongelea Zenj ipi mkuu?
Ndio nataka niende kwa mara ya kwanza utalii wangu ulikuwa unafanyika kwenye mbuga za wanyama kama vile serengeti,saanane!una kawaida ya kwenda kutalii Zanzibar ndugu?
Huko vp lkn maeneo ni mazuri!?Nimepewa mchongo pia kuna viwanja Maeneo ya Mwera-Kibondemaji vipo viwanja Mil 7 mpaka 6
Mara ya mwisho kufika zanzibar ni mwaka gani mkuu?Afadhali umefikilia kuweka mada ya wazenjibar, japo wenyewe wamelala maana walikuwa hawana sehemu maalum iliyopo ndani ya jukwaa as muungano.
Naendelea na hili hapa...
Kwanza guest houses kwa unguja ni shida sana kupata kulingana na eneo unalotaka kustay, itakulazimu upate chumba (mfano) darajani alafu shuhuli zako ziwe ZU.
Wenyeji hawapendi Mtanganyika apange kwenye nyumba zao tena akiwa jisnia ya kiume bora wa kike anafikiliwa.
Ubinafsi ni mkubwa sana, ukifahamika umetoka bara, labda utoe product bora/nzuri kuliko ila unapigwa juju mapema asubuhi!.
Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?.
Na ...
ndo huko kibondemaji tena maarufu kwa Mmanga chatuMwera-Kibondemaji ndio wapi huko mkuu? ndio kwanza napasikia
Kuna Zanzibar iko Ukerewe na Nyingine ChatoKwani Zanzibar zipo ngapi?.
Panaelekea kua pazur Kuna watu washaanza kuporomosha vghorofa vya hapa na pale na watu wengi wananunua viwanja hukoHuko vp lkn maeneo ni mazuri!?
Mie naona pamenikalia kinyume. Siku hizi mji upo njia ya kisauni
Hata wewe ukifika Mtwara mtaa wa Magomeni utatueleza habari ya mtaani hapo kisa uliwahi kufika kwenye kimtaa kimoja tu.Mara ya mwisho kufika zanzibar ni mwaka gani mkuu?
Zanzibar ya sasa ina mchanganyiko mkubwa wa watu. Tena sana.
Wazanzibari wengi wapo nje. Tuliobaki wengi ni wakuja lkn ndio tushakua wenyeji
Mara nyingi nikiendaga huko nafikia lodge yangu moja iko Fuoni na inaitwa Fuoni Lodge iko poa sana na upande wake wa pili kuna bar kubwa sana vinywaji vyote vipo na kuna watoto wazuri sana ingawa ni mbali kutokea mjini huwa napumzika vizuri mno.Ipo mwisho zinapogeuzia daladala za Fuoni
Ndio nataka niende kwa mara ya kwanza utalii wangu ulikuwa unafanyika kwenye mbuga za wanyama kama vile serengeti,saanane!
beba na vaseline
Zanziba imekalia kiutalii zaidi, yaani main target ni foreigners nje ya Tanzania. Stone town kuna guest houses za kumwaga.👉🏾Kwanza guest houses kwa unguja ni shida sana kupata kulingana na eneo unalotaka kustay, itakulazimu upate chumba (mfano) darajani alafu shuhuli zako ziwe ZU.
Kwanini hawapendi mtanganyika apange kwenye nyumba yao? Kama wakikataa mtanganyika watampata nani? Wazanzibari hawana utamaduni wa kukodi nyumba wakiwa kwao. Huku mtu kakodi nyumba/chumba ikiwa anasoma chuo mfano. Venginevyo mtu hana pakukaa basi anakaa kwao tuWenyeji hawapendi Mtanganyika apange kwenye nyumba zao tena akiwa jisnia ya kiume bora wa kike anafikiliwa.
hizi ni fikra zako tu kwa vile ni muoga, kupigwa juju haitaki uwe mbara au mkenya, kama kupigwa juju na mshindano wako utapigwa tu. Sasa wamachinga wote waliopo Zanzibar mbona hawakupigwa juju na product zao ni za ovyo tu? Wewe kaa tu wakati kuna wabongo wenzako wanapiga mawe maisha yanasonga mbele hawatamani ata kurudi kwaoUbinafsi ni mkubwa sana, ukifahamika umetoka bara, labda utoe product bora/nzuri kuliko ila unapigwa juju mapema asubuhi!
Ushawahi kulinganisha operating costs za boti na za bus linalokwenda Tanga kutoka dar 250+ kms?Pia mpaka kesho najiuliza, sababu ya gharama ya usafiri kwa boat how ni kubwa sana kulinganisha na distance?