Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi amefanya teuzi za wakurugenzi katika Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi pamoja na Taasisi zilizo chini yake
Amemteua Dkt. Salum S. Hamed kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi, Dkt. Makame O. Makame kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Uhifadhi wa Maeneo Baharini na Dkt . Zakaria A. Khamis kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Uvuvi wa Mazao ya Baharini.
Katika Idara ya Uratibu wa Maendeleo ya Uchumi wa Buluu ameteuliwa Capt. Hamad B. Hamad na Sheha Idrissa Hamdani ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Sera na Utafiti.
Adam A. Makame ameteuliwaa kuwa Mkurugenzi wa ZPRA, Mikidadi A. Rashidi ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa ZPDC, na Dkt. Ameir H. Mshenga ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa ZAFICO.
Amemteua Dkt. Salum S. Hamed kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi, Dkt. Makame O. Makame kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Uhifadhi wa Maeneo Baharini na Dkt . Zakaria A. Khamis kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Uvuvi wa Mazao ya Baharini.
Katika Idara ya Uratibu wa Maendeleo ya Uchumi wa Buluu ameteuliwa Capt. Hamad B. Hamad na Sheha Idrissa Hamdani ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Sera na Utafiti.
Adam A. Makame ameteuliwaa kuwa Mkurugenzi wa ZPRA, Mikidadi A. Rashidi ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa ZPDC, na Dkt. Ameir H. Mshenga ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa ZAFICO.