Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Zanzibar kama ni nchi mbona haina kiti maalum AU. nyie wazenji acheni kutudanganya kisa mmegundua mafuta basi mnajiona wajajanja kweli tukiwaacha mmarekani anakuja kuyakomba yote hatowaachia hata tone LA mafuta

Wacha Marekani ayakombe Mafuta yetu yote maana yetu na tumeridhia na sio geni maana MChina anachukuwa gas Mpaka MENO ya Kinana sisi hatuingilii huko
 
soma Ibara ya Pili ya Katiba ya Zenji

Hili baraa kwa watanganyika kodi yenu inawSomesha wanzibari.wao wanajenga huku tanganyakija na si wata.ganyika wajenge zanzibar si atoke mtu apige mabomu na aseme nchi ni moja itafutiwe jina jingine itwe jamuhuri ya africa mashariki
 
sisi tumekubali kuiua yetu na kubaki na tanzania sijui ninyi wazanzibar ambao hamtaki kuua yakwenu tubaki na nchi moja.

Hapoo ndipo ugomvi ulipo. ukitaka kugombana na wazenji waambie hivyo tu. muungano wa kweli ni ule ambao nchi zinapoungana inapatikana nchi moja tu. sasa huu muungano wetu wa nchi moja kupotea na nyingine ikabaki mi siuelewi kabisa.
 
Wakulaumiwa ni Kikwete, aliapa kuilinda katiba ya JMT lakini hakufanya hivyo ilivyokuwa inavunjwa na mabadliko ya katiba ya Zanzibar. Nyerere tutakukumbuka sana...!

Nyerere ndie nö 1 alieipoteza Tanganyika!
...
Akumbukwe kwa lipi?
Ivi unajua bila u..... Wa nyerere kusingekua na mivutano hii?
...
Dah! Naskitika sana nikiona mtu anaejiona anaakili timamu afu akaleta story za nyerere kuhusu muungano! Story zenyewe za kumsifia!
...
Wizi mtupu!
 
mkuu tanganyika ya kazi gani kama serikali ya muungano ndo yetu watanganyika. sisi niwakoloni wacha tuwatawale.

Usijibabaishe!
Sema tu wewe ni mshabiki wa serikali mbili!
 
Hapoo ndipo ugomvi ulipo. ukitaka kugombana na wazenji waambie hivyo tu. muungano wa kweli ni ule ambao nchi zinapoungana inapatikana nchi moja tu. sasa huu muungano wetu wa nchi moja kupotea na nyingine ikabaki mi siuelewi kabisa.

Ni aibu kwa nchi kubwa tanganyika kuiganda zanzbr kisa muungano,kama vizuri kupoteza utaifa basi watanganyika nendeni kenya mukaungane nao kisha mupoteze utaifa wa kenya,zanzbr kwanza.
 
sisi tumekubali kuiua yetu na kubaki na tanzania sijui ninyi wazanzibar ambao hamtaki kuua yakwenu tubaki na nchi moja.

Kwa sheria ipi iliyokufanyeni kuiua tanganyika,kwa akili zako chache unaweza kumuua mama yako kwa kuutaka utajiri.
 
Ngoja waje Vijana wa madrasa wale wa "ahasanta" ndo mtajua ukwweli kama Zanzibar ni nchi au si nchi!!

Acha ungese mtoto wa kiume,kama unaringia tanzania basi elewa tanzania haijawahi kupata uhuru na wala haijawahi kutawaliwa,jitambue wewe ni mtanganyika.
 
Tanganyika ni nchi lakini invisible,raia wake ukiwakuta njiani wanajiita watanzania bara.

Hiyo ndio nchi gani sasa?
Tanganyika ilikuwa nchi before 64, Nyerere ndie aliepoteza Tanganyika! Afu nashangaa, kuna watu bado wanakaba pua na kumsifu nyerere!
 
Kutaja Zanzibar ni nchi is not the least helpful if anything adds on confusion surrounding the status of Zanzibar. Vizuri zaidi muheshiwa na wachangiaji watupe maana halisi ya nchi.
Je Zanzibar ni Nchi, Taifa au Mamlaka?(is Zanzibar a Country, Nation or State?)
 
Back
Top Bottom