binafsi mimi sikerwi kwa zanzibar kuwa nchi, mna haki kabisa ya kuwa nchi kamili. Kinachonisumbua mimi ni kuwa na muungano baina ya nchi mbili ambapo nchi nyingine (tanganyika) iliyofanya muungano huo haitambuliwi.
Hawa ndugu zetu sijui wana matatizo gani kichwani; sasa kama ingekuwa nchi kamili wangekuwepo wenye kudai "mamlaka kamili"? grrrrr
So what?Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili
Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU
===> Halafu wapuuuzi magamba wanakuja kutuambia wao wanataka serikali mbili,wana wazimu kweliHii sio Habari Mpya, wabongo tulilala tukapigwa bao
Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili
Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU
kwani nani anasema znzb sio nchi? mbona hii c hoja? wale wanaosema si nchi,watuambie lini znzb ilitangazwa kua mkoa au jimbo ndani ya tz?
So what?
Hizi kelele wamezipiga sana lakini kilicho wazi ni kwamba Zanzibar ni nchi isiyotambuliwa wa UN full stop.
Hivi Rais wa nchi/Jamhuri ya Zanzibar ni nani?
Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.
Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.
Tanzania ni mungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.Hawa ndugu zetu sijui wana matatizo gani kichwani; sasa kama ingekuwa nchi kamili wangekuwepo wenye kudai "mamlaka kamili"? grrrrr
Hawa ndugu zetu sijui wana matatizo gani kichwani; sasa kama ingekuwa nchi kamili wangekuwepo wenye kudai "mamlaka kamili"? grrrrr
Tukiwa Serious, Je Huyu si kwamba amevunja Katiba ya JMT?
Rais wa Tanganyika ni nani mkuu?
kama ni hivyo,hii wapi Tanganyika?