Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Samia Mwenetu usije ukajimaliza, wewe si lolote bali bahati yako ni kutoa tendo kwa wakubwa kuanzia ngazi ya Kijijini kwenu Makundu Uchi hadi Ikulu Zenji. Ukarume uupunguze usije ukafanzwa ya Mansuri basha.
mie nshakwambia
 
sisi tumekubali kuiua yetu na kubaki na tanzania sijui ninyi wazanzibar ambao hamtaki kuua yakwenu tubaki na nchi moja.


Jamani tuache unafiki. Hakuna nchi mbili zilizoungana. Hapa kuna mawazo ya watu wawili, Karume na Nyerere, ndiyo yaliyoungana, tena kinadharia. Muungano unatakiwa uwe na ridhaa ya wananchi wa nchi zinazoungana, hawa jamaa wa2 walipata wapi ridhaa yetu??
Haishangazi ndiyo maana Zanzibar imejiondoa kny Muungano wkt wahafidhina wa Tanganyika (ccm) waking'ang'ana na muungano ambao haupo, kwa sababu ya maslahi binafsi ya kuitawala Zanzibar! Hawa wahafidhina wameshachelewa, hata wakilazimisha serikali 2 kny bunge la katiba, bila kui disable katiba ya Zbr ni useless, Zbr imeshajitenga. Hali imeshafikia Point of No Return, they have to succumb to 3 govts system!!
 
jamani tuache unafiki. Hakuna nchi mbili zilizoungana. Hapa kuna mawazo ya watu wawili, karume na nyerere, ndiyo yaliyoungana, tena kinadharia. Muungano unatakiwa uwe na ridhaa ya wananchi wa nchi zinazoungana, hawa jamaa wa2 walipata wapi ridhaa yetu??
Haishangazi ndiyo maana zanzibar imejiondoa kny muungano wkt wahafidhina wa tanganyika (ccm) waking'ang'ana na muungano ambao haupo, kwa sababu ya maslahi binafsi ya kuitawala zanzibar! Hawa wahafidhina wameshachelewa, hata wakilazimisha serikali 2 kny bunge la katiba, bila kui disable katiba ya zbr ni useless, zbr imeshajitenga. Hali imeshafikia point of no return, they have to succumb to 3 govts system!!

nadhani serikali moja ndo suruhisho.
 
kama waziri wa Muungano ndo anasema hivyo, ni wazi kuwa hata haelewi anachofanyia kazi. viongozi wake wakubwa yaani waziri mkuu wa sasa na aliyekuwa spika wa standard and speed, walishasema kuwa hiyo siyo nchi. kama nchi nchi moja haiwezekeni baada ya muungano, hapo hakuna haja ya kuungana tena isipokuwa ushirikiano tu.
 
Back
Top Bottom