AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,906
- 5,691
Kuna haja ya tanganyika kurudi.
Irudi kutoka wapi?
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Kuna haja ya tanganyika kurudi.
Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.
Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.
Mamalaka kamili.sawa zanzibar ni nchi mnalalamika nini sasa tulia.
Mamalaka kamili.
sio suala la kutulia ni kuamka na kudai TANGANYIKA kwa nguvu zote
Umenielewa haswa, hapo ndipo nilipokusudia.kwahiyo ni nchi isiyo na mamlaka kamili?
Zanzibar kama ni nchi mbona haina kiti maalum AU. nyie wazenji acheni kutudanganya kisa mmegundua mafuta basi mnajiona wajajanja kweli tukiwaacha mmarekani anakuja kuyakomba yote hatowaachia hata tone LA mafuta
SOMA Montevideo Convetion Ibara ya 1Kukosa kiti UM hakuondoi ukweli kwamba Zanzibar ni nchi. Tanzania ni Muungano wa nchi ngapi? Kama ilikuwa nchi wakati wa kuungana na Tanganyika, itaendelea kuwa nchi milele kama ilivyo kwa Tanganyika ambayo imekuwa "ruhani" yaani nchi isiyoonekana.
Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.
Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.
Hata mtoto anaweza kujitangaza wazi kuwa yeye ana umri mkubwa kuliko baba yake. Hapo ishu sio kujiweka wazi, ishu ni kwamba, je, ukiondoa wewe, jamii nyingine inakutambua?Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.
Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.
wenzenu walipigana kutafuta uhuru mna kazi ya kupigana badala ya kukaa na kulalama na nchi yenu isiyokuwa na madaraka kamili.Umenielewa haswa, hapo ndipo nilipokusudia.