ghilipolla
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 280
- 53
Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili
Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU
Huyu mama ni snake in the grass hutumiliwa na JMT kuizamisha Zanzibar., kwanza hana sifa za kuwa Waziri zaidi ya mama wa nyumbani tu, mara ngapi nimemuona bungeni anaulizwa maswali ya muungano yeye ndio mtu wa mwisho kama waziri katika Wizara ile ya Muungano anakuwa hana majibu, anatafuna maneno yaani mpaka anaaibika.,