WeedLiquorz
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 3,348
- 5,595
Na hatuwalipi mpaka wasuse Muungano, kama demu ajifukuzishae mwenyewe bila taraka.
Kama Zanzibar inamiliki tanganyika.Nipe mfano wowote duniani ambapo kisiwa kinamiliki inland.
Zanzibar ndiye mhanga mkubwa wa Muungano eneo la mgawanyo wa rasilimali.Kuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa kuanzisha BOT kule kwenye East Africa Currency Board.
Na pia katika makubaliana ya muungano pia kuna fungi lao (asilimia 4 na ache) amblaa kwa sasa limefikia trillions na hawajalipwa
Hii ni moja ya Kero za muungano ambazo hatupewi sisi kama mwananchi mrejesho na wanasiasa wetu kuwa nini kimemalizwa na kipi bado na tatizo ni nini.
Ata arusha ilibaki %5 iwe nchi🙄🙄🙄🙄.Hivi ilikuwaje Rwanda na Burundi sio mikoa ya Tanzania?
Koti limebana. ?!Watanganyika wanajipendekeza kwenye muungano.
Hapana ni maccm mbona hata Sasa Rais ni mzanzibar Si mvunje muungano?Watanganyika wanajipendekeza kwenye muungano.
Ata babu zetu waliwaza kama wewe kuhusu kuvunja muungano lakini ikashindikanaSIDHANI KAMA TUNA MUDA MREFU NA HUU MUUNGANO!
kifupi Wazanzibar hawajui wanachotarajia kukipoteza!
wakati mwingine mnatulazimisha kusema ukweli mchungu! hivi tunaelewa vizuri wazanzibari WENGI walitokea wapi?
NIMEANDIKA LAKINI NAFSI IKAGOMA NIMEFUTA.
Hawa jamaa tunawalea sana. Zanzibar inapaswa kuwa treated kama mkoa. Nashangaa inapewa hadhi kubwa isiyo stahili.Nipe mfano wowote duniani ambapo kisiwa kinamiliki inland.
Hamna kitu kama hichi. hayo yalikuwa maeneo ya kibiashara tu. Zanzibari inabaki kule kisiwaniMbali ya mtaji hata ardhi ya pwani kuanzia Tanga hadi Ntwala ni mali ya Zanzibar,yaani waZanzibali ndio wale watenda wema waondokao.
Nyie endeleeni kuyachokoa tu.
View attachment 2972777
Binafsi sikutegemea Muungano kuwa unaweza kuwa kero lakini kwa sasa wacha malalamiko yao yawe sala halali kwa MWENYEZI MUNGU. Wacha uvunjike kisha wajukuu zetu watajenga Muungano halali ambapo Zanzibar yote itamezwa na kuwa mkoa.At
Ata babu zetu waliwaza kama wewe kuhusu kuvunja muungano lakini ikashindikana
Sasa inatakiwa uvunje wewe kama uwezi itakua history.
NUSU YA IDADI YOTE YA WAZANZIBAR WANAISHI BARA! KWA RAHA ZAO, WAZANZIBAR WACHACHE WAJINGA NDIO HAO KILA SIKU KUZUA NA KUZUSHA YA KIPUMBAVU KABISA.Ndo washalipia kodi ya ardhi wanazomiliki huku bara imetoka hio
Asilimia nne haiwezi kuwa ufadhili,uwe unasoma na kutafakari,walichangia 4% na hawajawahi PATA gawio,maana yake Tanganyika ilichangia 96%,so Kama Kuna gawio wanapasa kupewa..sio kweli.
..kilichotokea ni fedha za Tgk na Znz kuhamishiwa BOT baada East African Currency Board kuvunjika.
..Waznz wanajaribu kupotosha kwamba Watgk tulikuwa hatuna kitu, au kuwa wametufadhili, ktk muungano wetu.
Wanajiamini, sisi ndio tunawang’ang’ania. Watanganyika tupo kimya ni vile tunawafaidi sana hawa. Wangekuwa wanatunyonya tungeshawatema kitambo.Afu fun enough Wazanzibar ndo mara zote wanajifanya kuibua mada za kutuchachafya na huu muungano!
Kuna kipindi mtawala wa china,makao makuu yalikua Hong Kong Kama siyo TaiwanNipe mfano wowote duniani ambapo kisiwa kinamiliki inland.
Mna nini ninyi mpaka rais mnapangiwa kitoka bara.NYIE NI MKOA SEMA TU HAMJATAMBUAWatanganyika wanajipendekeza kwenye muungano.
🤣🤣🤣..sio kweli.
..kilichotokea ni fedha za Tgk na Znz kuhamishiwa BOT baada East African Currency Board kuvunjika.
..Waznz wanajaribu kupotosha kwamba Watgk tulikuwa hatuna kitu, au kuwa wametufadhili, ktk muungano wetu.
Bila Zanzibar hakuna Tanzania,uwe unatumia vizuri dafu lako juu ya mabegaHawa jamaa tunawalea sana. Zanzibar inapaswa kuwa treated kama mkoa. Nashangaa inapewa hadhi kubwa isiyo stahili.
Ifike tu muda tuache kukalazimisha haka kamuungano, kuna angle nyingi sana kanagoma kumatch!!!!! ndo vile tu wanasiasa wanakaforce,,, sijui ni kwa faida ya nani sasa.