Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,058
Mkuu.
Unaelewa kuwa kuna nchi ambazo ni visiwa kama Zanzibar?
Sychelles. Mauritius, Cape Verde..nchi hizi zipo Afrika.....je unaelewa vyanzo vyao vya mapato?
Lakini sisi Tanganyika aka Tanzania bara wenye vyanzo vya mapato....hayo mapato yako wapi? mapato yanayokusanywa yanamsaidia vipi mwananchi wa kawaida?
Nilipopitia historia nilijifunza kuwa Zanzibar walikuwa na uchumi bora kuliko wa Tanganyika kabla ya Muungano.
Wao uchumi wanao, na sisi uchumi tunao lakini "tumeukalia" kwa maneno ya Nyerere.
Tatizo ni viongozi tu.
Nonda at work, plz usipotoshe Nonda uchumi wa zanzibar ulikuwa mzuri sio kabla ya union bali sema kabla ya Mapinduzi, ni mapinduzi ambayo yaliwafukuza masettlers wengi wa kiarab na kupunguza imani ya wafanyabiashara hao kuwekeza zanzibar,kama ilivyokuwa huku bara na azimio la arusha-achana historia ya maskani. Karume akakuta pesa akatumia bila kuwekeza ktk return endelevu ili kuwa na revenue endelevu-zilipoisha kwisney. Kwanini kila falure yenu nyie zenj mnadai ni bcz Tanzania?(eh sory ni Darnyika)!