Sikilizeni,watanganyika/watanzania nyinyi hamuuelewi maanga ya muungano na vipi munafaidika na vipi munapata hasara,wazanzbari ni watu ambao wasomi,wafanya biashara,na wenyewe uwezo kwa silimia kubwa ukipiga hesabu ya wananchi wa zanzibar.
Muungano unakuja kiuchumi,na uchumi ni kkifedha,wazanzibari ni wafanya biashara,ipo katika damu yao hasa,kwa hiyo katika huu muungano wao wanaufahamu zaidi kuliko watanganyika,kutokana wao ni wafanyaji biashara,kiuchumi hauwasaidiii,nyie ndio munao faidika muungano,kiufupi ni kwamba baadhi ya watu hawafahamu vitu gani ambavyo vinafanya nchi ukiwe kiuchumi ukiwacha hizo rasilimali mulizonazo.
Muna ropoka maneno tu ,,oh vunja waache wandee kwaoo,ah nini wewe,nyie ndio mutakao athirika,sisi wazanzibar tutabaki kama wazanzbari,jee nyinyi ? Kuna makabila kibao,na sasa kumeingia na udini,kutakuwa hakuna mtanganyika,na nyerere ameshawaleza,.musije kuiyacha zanzibar,kwani anafahamu fika kuwa zanzibar itabakia kuwa zanzibar.
Muungano huu hauna maana kwa wazanzbari kiuchumi,kwa maslahi yao kinchi,,hakuna mtu anaetaka kuuza utaifa wake,katika muungano kulikuwa na mataifa mawili,tanganyika na zanzibar,jeee leo hii mmoja afute utaifa avae koti la muungano huoni kuwa ni ulakini na usanii ?
Kura ya maoni sio wauliza wananchi kuvunja muungano au serikali tatu au moja...hapanaa
KURA IWAULIZE HIVI,Munataka muungano au hamutaki ?
muungano huo ukiwa unautaka uwe vipi ? Serikali tatu au wa kibiashara tu kama EAC.