Ni chuki zao ndo zinawafanya wahc 2nawanyonya,umeshawah kuona wabara wanavyonyanyaswa Z enji? Baa zao zinachomwa,je umewah kuckia duka la mpemba limechomwa moto Dar au Mby?
Mbona unalinganisha mambo mawili tofauti. Kule Zanzibar kuna maduka ya Wabara na kuna wamachinga kibao kutoka bara na hujasikia kuchomwa moto na hivyo hivyo mbona hutwambii kuna baa ngapi za Wapemba huko Bara. Ukiendda pahala basi angalau ishi kama wenyewe wanavyoishi sio uwapelekee madhara. Hivyo kwako baa umeiweka kitu muhimu?