nerilan
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 416
- 606
Watu wa Zanzibar wanavuta sana majina kwenye matamshiEti Amiii
Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
Watu wa Zanzibar wanavuta sana majina kwenye matamshiEti Amiii
nimekumisi sana😀😀😀😀Eti Amiii
Nipo niko chakechake huku nala ulojo na juice ya tende karibunimekumisi sana
mi nataka alkasusu😋Nipo niko chakechake huku nala ulojo na juice ya tende karibu
Alkasusu pambaneni nayo nyieee wabara (chogo) huku hamna atiiimi nataka alkasusu😋
Jina lako limenifurahisha sana mkuuHii habar imechelewa Sana. Picha inaonesha ilikuwa mida ya jioni jioni. Hapo Bima inatafutwa ama masharti ya mganga.
More than Terrible my friend hizo hotel ni ghali mno, yaani ukiangalia investment iliyotumika hapo daaaa inauma Sana, nilishawahi kuwa pale Seacliff ya Mangapwani Zenjbar aisee nilikua najaribu kuthaminisha vitu vinavyounda hotel mmmmh nikawa na WA respect matycon Kama kina Subash Patel kwamba Kuna Watu Wana mpunga aiseeHasara ilioje hiyo....daah it's terrible.....
"Tunakiona cha moto" huu uwe msemo wa mwaka kwa watanzania
Siku hizi watu wamejiongeza. Mtu kama una hotel yako halafu hakuna biashara nzuri, wateja hakuna.
Simple: Unaikatia insurance halafu unaipiga moto. Unasubiri ulipwe na agents hela zako.
Inauma sana mkuu....More than Terrible my friend hizo hotel ni ghali mno,yaani ukiangalia investment iliyotumika hapo daaaa inauma Sana,nilishawahi kuwa pale Seacliff ya Mangapwani Zenjbar aisee nilikua najaribu kuthaminisha vitu vinavyounda hotel mmmmh nikawa na WA respect matycon Kama kina Subash Patel kwamba Kuna Watu Wana mpunga aisee
Imagine nikapiga hesabu ya Generator tatu za imergence zilizopo pale inagharimu kama Tsh
1.2 Billion,mwenzangu na Mimi Hata generator la laki Sina na umeme unavyosumbua Hivi nabaki kulalama kikenge tu 😁😁😁
imagine hizo ni generator tu na ana mitambo mpaka ya kurecycle maji taka nikaona mmmmmh Kuna Watu Wana invest aisee,
Pole Yao ila inaumiza Sana!
Nasikia hoteli tano zimeungua.