Kwa mwaka huu 2021 tumesikia visa vingi vya majanga ya Moto.. mfano
Julai:
-Maduka yaliungua sokoni Kariakoo. Mama aliagiza uchunguzi ufanyike lakini hadi leo sikuwahi kusikia ripoti ya uchunguzi huo.
-Bweni ktk shule ya wasichana Morogoro liliteketea kwa Moto.
Oktoba:
-Mgahawa wa The Cask kule Mwanza uliteketea kwa Moto. Kuna taarifa zilizungumzia kuwepo kwa hujuma.
Novemba:
-Kuna maduka yaliungua na Moto kule Mbagala
- Vibanda kadhaa ktk Soko la Manzese lilipo Tunduma viliteketea kwa Moto
-Soko la Katoro lateketea kwa Moto
-Villa de Coco hotel iliyopo Zanzibar imeteketea kwa moto.
Wahusika mnachukua hatua gani?
Kuna hujuma au ni majanga ya kawaida?
Julai:
-Maduka yaliungua sokoni Kariakoo. Mama aliagiza uchunguzi ufanyike lakini hadi leo sikuwahi kusikia ripoti ya uchunguzi huo.
-Bweni ktk shule ya wasichana Morogoro liliteketea kwa Moto.
Oktoba:
-Mgahawa wa The Cask kule Mwanza uliteketea kwa Moto. Kuna taarifa zilizungumzia kuwepo kwa hujuma.
Novemba:
-Kuna maduka yaliungua na Moto kule Mbagala
- Vibanda kadhaa ktk Soko la Manzese lilipo Tunduma viliteketea kwa Moto
-Soko la Katoro lateketea kwa Moto
-Villa de Coco hotel iliyopo Zanzibar imeteketea kwa moto.
Wahusika mnachukua hatua gani?
Kuna hujuma au ni majanga ya kawaida?