Zanzibar: Hotel tano za Jambiani, zateketea kwa moto

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Hotel 5 zilizopo Jambiani Zanzibar zinateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo hakijafahamika na kwamba hoteli zilizoathirika ni pamoja na Villa de Coco, Sharazad, Spice island, Fun Beach na Cobe.

Chanzo: TSN

20211119_220454.jpg
IMG_20211119_223424_193.jpg
IMG_20211119_223430_085.jpg

 
Back
Top Bottom