zanzibar huru
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 218
- 108
Pengo amekuwa sidelined baada ya kuonekana kuwa bado anasubiri draft ya tamko kutoka kwa bosi wake Vatican.
Sasa Maaskofu wengine wameamua kuachana naye na wamedemand kuonana na sheni ili wamsomee riot act.
Pengo badala ya kuonyesha kuwa yuko tayari kuwa pamoja na wakristo wengine regardless of their sect kaamua kunyamaza kimya na hii kwa kweli inasikitisha sana.
zaidi soma hapa:
Z
Sasa Maaskofu wengine wameamua kuachana naye na wamedemand kuonana na sheni ili wamsomee riot act.
Pengo badala ya kuonyesha kuwa yuko tayari kuwa pamoja na wakristo wengine regardless of their sect kaamua kunyamaza kimya na hii kwa kweli inasikitisha sana.
zaidi soma hapa:
Z