Bado nipo Halotel
Hizo ni rates za zamani
Bado nipo Halotel
zantel imenunuliwa na Tigo, penye tigo ujue zantel wapo. kama tigo ipo slow jua na zantel ipo slow.Hii imekaa vizuri sana japo sina hakika na coverage yao
Hii hapa Mkuu, accessed today 1/1/18. Mwezi, Wiki na Siku
Nicheki whasap namba iyo 0754217829Kumbe halotel nzuri hivi
Voda inapaa sana inafata tigoHivi kwa wale wanaosoma memerial university kigamboni, ni line gani, unaweza ku access internet bila shida yyte
At last nimepata njia ya kuachana na hawa jamaa. I hate ulaghai wao: yani wamenipa Mb 500, dakika 60+8 na unlimited sms kwa buku only kwa wiki moja then wakaanza mb 350, dk 50+2 kwa bei hiyohiyo, how disappointing they'reWakuu naomba kujuzwa nimekimbia halotel nimesajii laini ya zantel garama nafuu sana mwenyewe kujua jinsi ya kujiunga na University offer anipe kod zake.. Laini nimesajili ya chuo ila inagoma kujiunga cha chuo.. Wale wazoefu msaada. View attachment 664283
Uko wapi mzee mi iko slow sana KigamboniTTCL NDO BABA LAO... NILIVYOWAKIMBIA HALOTEL NIMEAHAMIA TTCL
Uko wapi mzee mi iko slow sana Kigamboni
Duh sasa hii inatokana na nini kuna jamaa mwingine nalisema inakamata fresh na yupo KigamboniDoh kigamboni inakamata hivo mimi Kijichi inacheza hapa
View attachment 665816
Mimi niko dodoma mzee....ttcl wanajitahidi kiukweli..... 2mb/secUko wapi mzee mi iko slow sana Kigamboni
Mimi niko dodoma mzee....ttcl wanajitahidi kiukweli..... 2mb/sec
Ilipo tigo zantel ipoHii imekaa vizuri sana japo sina hakika na coverage yao