Hicho kipengele kilifutwa mwaka 1992 wakati tunaanzisha mfumo wa vyama vingi.
Hata mswala ya makamu wa rais kutoka zbar kwa sasa siyo lazima just wanafanya hivyo ili kuupa muungano nguvu.
Mkuu,
Kutokana na maelezo uliyoyatoa...
Kwa hiyo ni kusema muungano haupo tena, kinachoendelea ni usanii tu