- Mnataka muachwe huru.....wakati huo huo, rais wa Muungano atoke Zanzbar, viwili hivi vinawezekanaje kwa wakati mmoja?
- Kwakuwa Ali Hassan Mwinyi alishakuwa Rais wa Jamuhuri akitokea Zanzbar, nadhani sasa ni wakati wa rais wa Zanzibar naye atokee Bara....kama urais ni kwa zamu.
- Na tabia ya ......changu chakwangu, chetu changu itawaisha lini Waznzbar?
- Lini Mtanzania Bara ataruhusiwa kumiliki ardhi huko, kama wazanbar wanavyo miliki ardhi bara?
Wazenji watu waajabu sn, anajiona kama wako peponi pale unguja kumbe met na doi nikama mkoa wa katavi tu hakuja chochote, Dodoma wala Arusha Zenj haiwakuti hata maramoja,
Kujikweza tu hawana chochote cha maana.