Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
mia,then nasisi tuanze na igunga
Hivyo Zambia hakuna Usalama wa Taifa vile! Si wangemtangaza Rais wao magumashi kama nchi fulani ya "amani"!
mia,then nasisi tuanze na igunga
Vyama vya kiafrika wakati mwingine vinachosha kabisa. Huwezi kuamini mpaka dakika hii kwenye website ya PF hakuna breaking news juu ya kushinda kwa mgombea wao!
Nimeshangazwa sana na vyombo vyetu vya habari,ushindi wa mgombea wa chama cha upinzani nchini Zambia umekuwa kama mshtuko kwa chama chetu tawala(CCM).Inavyoonekana kuna aina fulani ya mkakati ya kutotangazwa kwa matokeo hayo kwenye vyombo vyetu vya habari ili watu wasipate kuujua ukweli,ila kwa dunia yetu ya leo,vyanzo vya habari ni vingi sana.Siku hizi ukizuia hiki kwa hila,wengine wanafungua mlango kwingine kwa manufaa zaidi.Kweli,ukimuamsha aliyelala,utalala wewe.Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Tanzania.
bbc wametangaza ..hahaaa ccm kazi kwenu sasa
source?