rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
mashirika makubwa ya utangazaji yanatangaza kuhus zambia
inatufundisha nini,kenya kukiwa na uachaguzi vilevile wanatangaza
lakini kwa nini tanzania tukiwa na uchaguzi huwezi kuona shirika lolote kubwa duniani likitangaza?
labda wanaangalia uwezo wa wananchi wa kuelewa na elimu
au labda wanatudharau????????????????????????????????????????
inatufundisha nini,kenya kukiwa na uachaguzi vilevile wanatangaza
lakini kwa nini tanzania tukiwa na uchaguzi huwezi kuona shirika lolote kubwa duniani likitangaza?
labda wanaangalia uwezo wa wananchi wa kuelewa na elimu
au labda wanatudharau????????????????????????????????????????