Jiunge telegram unafanyiwa derivery 😹Siku hizi wana panga foleni ya kununua papuchi!
Sio CCM ni teknolojia imekuwa..!!Halafu mkiambiwa CCM imeleta maendeleo mnakuwa wajeuri.
Nasikia Papuchi za kununua zina sura mbaya, halafu si nunuagi k.Jiunge telegram unafanyiwa derivery 😹
Kwahiyo mkipanga foleni mnapewaga bure 😹Nasikia Papuchi za kununua zina sura mbaya, halafu si nunuagi k.
UngaWakuu kwema…
Tuwape elimu ndogo vijana wa sasa kuhusu namna baadhi ya huduma zamani ilibidi upange foleni kwa kufika ofisi husika ili uhudumiwe.
1. Luku
Ili upate huduma ya kununua umeme (luku) ilikuwa lazma ufike kwenye ofisi za Tanesco. Baadae wakaongeza huduma kwenye baadhi ya vituo vya kuuzia mafuta (sheli).
Yaani unaenda kununua umeme jioni, unakuta foleni ndefu na hapo ombea network isisumbue mtalala giza kwenu.
2. Malipo ya DStv lazma uende ofisini kwao.
Miaka hiyo nakumbuka mzee akienda kulipa DStv kule Kinondoni Makaburini zilipokuwa ofisi pekee za Dstv kwa Tanzania nzima. Ikishalipiwa kule anapiga simu kuuliza vipi chaneli zimefunguka, kabla hajatoka ofisi zao.
3. Simu za TTCL za mezani
Malipo lazma uende ofisini kwao.
Nilichokuwa napenda kuhusu TTCL ni kuwa walikuwa wanatoa vitabu vyenye namba za simu zote nchi nzima. Ulikuwa ukiwa na shida na mtu unatafuta jina lake kwenye kitabu cha TTCL unakuta namba zake unampigia.
4. Malipo ya Maji NUA baadae
Ukiletewa ankara ya maji basi utalazimika kufunga safari kwenda ofisi zao zilipo ili uweze kufanya malipo.
Huduma gani imesahaulika? Ongeza
Sijui wao, maana sija wahi kupanga foleni ya kununua.Kwahiyo mkipanga foleni mnapewaga bure 😹
CCM ndo iliruhusu hao wazungu kuleta teknolojia... wangeweza kuzuiaSio CCM ni teknolojia imekuwa..!!
Ingekuwa Tanzania peke yake sawa tungeipongeza veggies..!!
Ni wazungu wapewe maua yao, unafki haukupendezi 😹
Wasingeweza kuzuia dunia ndio ilitaka hivyo..!!CCM ndo iliruhusu hao wazungu kuleta teknolojia... wangeweza kuzuia
Acha zako basi mkuu 🤣Halafu mkiambiwa CCM imeleta maendeleo mnakuwa wajeuri.
Endelea kubisha ila jua CCM ndo imebeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe LamomyWasingeweza kuzuia dunia ndio ilitaka hivyo..!!
Tairi limechomoka kwenye tipa kwa watu wako, una taarifa mama? 😹Endelea kubisha ila jua CCM ndo imebeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe Lamomy
Halafu mkiambiwa CCM imeleta maendeleo mnakuwa wajeuri.
Na yale madaftariNa kuna kipindi ulipangiwa kiwango cha kununua, mwisho kilo kadhaa