mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Ni kweli.lakini tukiulizwa zahera kavunja sheria namba ngapi ya nchi.tutajibu nini?
Kiukweli tangy nizaliwe sijawahi kuishangilia yanga kwenye mashindano yoyote.
Ni jambo ambalo haliwezekani MTU wa bakuli fc.akashabikia simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli tangy nizaliwe sijawahi kuishangilia yanga kwenye mashindano yoyote.
Ni jambo ambalo haliwezekani MTU wa bakuli fc.akashabikia simba
Hawezi kula mshahara Bongo alafu alete janja janja mjini...Tutaleta heshima kwa nchi, piga AS Vita na Zahera wao ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app