Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,361
- 11,518
Huyu ameamua kusaliti watanzania waliomweka hapa nchini. Tunaweza wasamehe watanzania ambao ni Yanga wanaoisaidia AS Vita lakini hatuwezi samehe mkongo anayekula pesa za Watanzania anayewasaidia AS Vita.
Hata ingetokea kocha wa Simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi Tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.
Hata ingetokea kocha wa Simba akasema aisaidie team ya nchi yake il hali anaishi Tanzania anatumia kodi za watanzania angeshughulikiwa tu.
Zahera amevuka mipaka nadhani aoneshwe mwisho wa mipaka yake ni wapi. Otherwise tukizidi kucheka na nyani tutavuna mabua. Sheria ichukue mkondo wake katika hili.