Zahera na AS Vita ndani ya nchi hii?

Zahera mwenyewe alishindwa kuifunga Simba SASA anamdanganya nini ibenge???

Acha wanikusanye tuwapige Kwa ujumlaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: mmh
Zahera ana uhuru wa kuzunguka na AS Vita popote mjini hapa. Si AS Vita tu, hata na Al Ahly au Nkana, hakuna tatizo kwa kuwa huenda ana malengo mapana zaidi kuliko ya kuwa kocha wa Yanga. Lakini ambacho aliharibu (hata kama hakuvunja sheria au utaratibu) pengine ni kusema tu hataenda Iringa kwa kuwa anaenda kwao DRC. Angekaa tu kimya awasubiri AS Vita hapa Dar. Pengine wanamlipa vizuri kuliko Yanga, tumuache tu
 
Write your reply...
mikia fc mshasahau walichokifanya haruna niyonzima na masoud djuma kwenye mechi ya shirikisho yanga na rayon

acheni kulalamika,mutu ya kongo iko mujini
 
wana yanga tupo nyuma ya kocha wetu zahera... simba wanaanzia wapi kuwakilisha nchi..

simba na yanga ni wapinzani wa jadi .. hata siku moja mwana yanga hawezi muombea simba ushindi... zaidi ya unafiki tu..

na ninataka mfungwe 5
Hahahahahahahaha
 
wana yanga tupo nyuma ya kocha wetu zahera... simba wanaanzia wapi kuwakilisha nchi..

simba na yanga ni wapinzani wa jadi .. hata siku moja mwana yanga hawezi muombea simba ushindi... zaidi ya unafiki tu..

na ninataka mfungwe 5
Hizo 5 5imba washazizoea, wagongwe hata 13 tu. Kama waliwaanika waarabu juani, hawa Bana Congo ni Tshishimbi Type, twende jua twende mvua
 
Tumuache Zahera apooze machungu ya Yanga kufungwa na Simba. Pengine atafarijika akiona walau Vita imemsaidia kulipa kisasi
 
Hivi sio vita vya nchi hizi ni timu mbili kutoka mataifa mawili tofauti, hata CAF waliacha utaratibu wa nyimbo za Taifa kwenye mechi za vilabu.
Isitoshe njia za mawasiliano zipo nyingi hata asingekutana nao bado kama kuna vitu vya kuwaambia anaweza kupiga hata simu!!
Najiuliza hivi press conference zetu ni waandishi kusikiliza tu hata kuhoji hakuna maana huyu alitakiwa aambiwe pale pale apunguze ujinga
 
Simba itafungwa kwa sababu za kisaikolojia, hivi Zahera anawahujumu kweli? Hivi AS Vita hawaijui Simba hicho ndio mnachodhani kwamba Zahera anatoa siri zenu. Kwa mpira wa kisasa timu zinafahamiana vizuri tu tena zinafanyiana uchunguzi mapema. Kalieni uchawi mtapigwa mapema.
 
WACHUKULIE CHANGAMOTO ANAZOWAPA ZAHERA KAMA FURSA WATAFANIKIWA.
 
Zahera yupo Congo,ni kocha msaidizi wa team ya taifa ya Congo. Congo DRC wanacheza na Liberia Alhamisi ijayo. Manara mpumbavu tu,badala ya kufocus kwa team ya Simba yupo busy na whereabouts za Zahera. What for?
Afadhali umewapasha ukwreli wenzako. Good narration!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…