Zahera mwenyewe alishindwa kuifunga Simba SASA anamdanganya nini ibenge???Mimi sijaelewa Zahera ana ihujumu vipi Simba kwa kushiriki kwake na timu ya As Vita. Yule sio mtanzania ni mkongo, na ile As Vita ni timu inayotokea Congo, Kocha wa Vital ni kocha mwenzie anayefundisha nae timu ya taifa ya Congo. Tatizo lipo wapi kwa Zahera kumpa mbinu za kiufundi kocha mwenzie? Hapo hakuna hujuma, labda kama Zahera anafanya namna ili marefa wahongwe, au kama anafanya mbinu chafu zisizoruhusiwa kwenye mpira wa miguu. Lakini kama anaisaidia Vita kwenye mambo ya kiufundi kwenye uchezaji wa mpira basi kwa upande wangu sioni hiyo hujuma kwa timu ya Simba.
Na pia Zahera halipwi mshahara na watanzania, bali analipwa mshahara na timu ya Yanga ambao ndio maasimu wa Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo wa taifa upigwe kwa misingi gani au ni lini ulisikia ukipigwa?Ukitakujua ni vita ya kinchi wimbo wa taifa lazima upigwe. Acheni hizo mbute fc
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahawana yanga tupo nyuma ya kocha wetu zahera... simba wanaanzia wapi kuwakilisha nchi..
simba na yanga ni wapinzani wa jadi .. hata siku moja mwana yanga hawezi muombea simba ushindi... zaidi ya unafiki tu..
na ninataka mfungwe 5
Hizo 5 5imba washazizoea, wagongwe hata 13 tu. Kama waliwaanika waarabu juani, hawa Bana Congo ni Tshishimbi Type, twende jua twende mvuawana yanga tupo nyuma ya kocha wetu zahera... simba wanaanzia wapi kuwakilisha nchi..
simba na yanga ni wapinzani wa jadi .. hata siku moja mwana yanga hawezi muombea simba ushindi... zaidi ya unafiki tu..
na ninataka mfungwe 5
Hahahahaha Hahahahaha hahahahaha.........nimemsikia Leo manara anaropoka inaelekea wamenusa kipigoSimba sio timu ya taifa bwege wew..hakuna cha utanzania wala uzalendo hapa,,ngoja zahera awape mbinu mfe tano taifa wachawi ninyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka napata kinyaaa. Kama mamtu ya Lumumba
Mbona tunamchangia Mo bidhaa zake kila siku..msituuzi tutaacha afunge viwanda
Utakuwa unayo ya miezi mitatu...mke wangu anakuwaga hivyo hata nikipulizia Issey Miyake ..anasema harufu yake inamchefuaMpaka napata kinyaaa. Kama mamtu ya Lumumba
Simba itafungwa kwa sababu za kisaikolojia, hivi Zahera anawahujumu kweli? Hivi AS Vita hawaijui Simba hicho ndio mnachodhani kwamba Zahera anatoa siri zenu. Kwa mpira wa kisasa timu zinafahamiana vizuri tu tena zinafanyiana uchunguzi mapema. Kalieni uchawi mtapigwa mapema.Nimeona Haji akiongea kimafumbo juu ya huyu kocha kuwa alidanganya kwenda Kongo lakini kumbe yupo na AS Vita hapa nchini.
Kama yanayosemwa ni sahihi basi huyu kocha aliyejijengea heshima kubwa anatuchukulia poa sana Watanzania. Amekuwa akitoa lugha za kejeli kwa wachezaji wa Tanzania bila staha akaachwa, sasa anataka kuhujumu Simba ambayo inawakilisha nchi tena waziwazi si kutuona wadwazi?
Kama taarifa hizi ni kweli huyu kocha atakuwa amepitiliza sasa. Amekosa namna ya kuwasaidia hao AS Vita huku akiheshimu kuwa analipwa mshahara na Watanzania?
Ni vizuri akakanusha taarifa hizi kama si kweli ili zisimchafulie sifa nzuri aliyojijengea hasa namna alivyoijenga Yanga nyakati hizi ngumu kiuchumi kwao.
Kila lakheri chama kubwa Simba, mnawakilisha nchi, lindeni heshima ya taifa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi si Yanga wala Simba lakini nashindwa kuona kosa la huyu Mkongomani.Mimi Mnyama Damu lakini hata angekuwa mimi nafundisha Congo soka, Nami ningeenda kuwapa Hi wanamsimbazi au timu yoyote ya TZ isipokuwa Ndala FC
Sent using Jamii Forums mobile app
WACHUKULIE CHANGAMOTO ANAZOWAPA ZAHERA KAMA FURSA WATAFANIKIWA.Mimi sijaelewa Zahera ana ihujumu vipi Simba kwa kushiriki kwake na timu ya As Vita. Yule sio mtanzania ni mkongo, na ile As Vita ni timu inayotokea Congo, Kocha wa Vital ni kocha mwenzie anayefundisha nae timu ya taifa ya Congo. Tatizo lipo wapi kwa Zahera kumpa mbinu za kiufundi kocha mwenzie? Hapo hakuna hujuma, labda kama Zahera anafanya namna ili marefa wahongwe, au kama anafanya mbinu chafu zisizoruhusiwa kwenye mpira wa miguu. Lakini kama anaisaidia Vita kwenye mambo ya kiufundi kwenye uchezaji wa mpira basi kwa upande wangu sioni hiyo hujuma kwa timu ya Simba.
Na pia Zahera halipwi mshahara na watanzania, bali analipwa mshahara na timu ya Yanga ambao ndio maasimu wa Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali umewapasha ukwreli wenzako. Good narration!Zahera yupo Congo,ni kocha msaidizi wa team ya taifa ya Congo. Congo DRC wanacheza na Liberia Alhamisi ijayo. Manara mpumbavu tu,badala ya kufocus kwa team ya Simba yupo busy na whereabouts za Zahera. What for?