Mbona sioni kitu?
Wanaukumbi.
The Islamic Foundation wanaelekeza mapambano kwenye elimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini.
Mwenyekiti Aref Nahdi akikagua na kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mtwara Shk Yusuf Shaban kumalizika kwa ujenzi wa Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Wanaukumbi.
The Islamic Foundation wanaelekeza mapambano kwenye elimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini.
Mwenyekiti Aref Nahdi akikagua na kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mtwara Shk Yusuf Shaban kumalizika kwa ujenzi wa Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Wewe boya badala ya kuonesha vifaa vya kimaabara na facility za kisasa wewe unatuonesha jengo ambalo halifikii hata hadhi ya jengo nililomjengea kimada wangu!!
Rubbish thread kutoka kwa terrorist mind.
Napendekeza iitwe " The Hospital of Terrorists"
sawa,ila hivyo vifaa vitakaa chini ya mti,hapo anakagua jengo la zahanat,likikamilika wanaweka vifaa,,,,unauchukia uislam pasipo sababu pole sana mdau,uislam upo na utaendelea kuwepo,nadhan ingekua amri yako hata waislam tusingekanyaga hapa,,,je na yale ya sudan ya kusini yanafanywa na MAGAID WA KIISLAM???