3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,249
- 6,979
Hilo ni kofi la mpenzi huwa haliumi linatia mzuka tu!!!Msimu ujao Yanga wana rudi kileleni kabisa!!!
unaota ww
Hilo ni kofi la mpenzi huwa haliumi linatia mzuka tu!!!Msimu ujao Yanga wana rudi kileleni kabisa!!!
Wengine wanademka tu.Una akili kubwa sana
Yah, sababu kampuni zake zilikuwa ni limited kwanza !...Umenena vyema mkuu huyo hajakurupuka kuja hizo ni mbinu zimetumika tu kuonesha kwamba kuna uwajibikaj lakini baadae ataachiwa na ataanza maisha mapya
Wewe ni kajinga yani!Manji anatumia fedha za babu yake wewe kubwa jinga.
Mmezoea mpige nyinyi tu nzi wa kijani wakipiga wengine ndio mnaanza kupiga YOPE.
Kama alikuwa anaiba tangia 2010 mbona hamkumpeleka UBAONI? Rostam mbona naye mmemkumbatia na taifa gesi au yeye siyo mwizi?
Sasa kwani hii ni zama ya kikwete? Mambo mengine tuwage wakweli na wa wazi, nchi kuendeshwa kwa remote ni ujinga mkubwa sana.Mama alitwambia lakini yeye na dhalimu magufuli ni KITU KIMOJA! Sukuma GANG bado wameshika usukani ili kumuenzi dhalimu hawataki Kikwete awazidi KETE!
Hapa nawaza kimoyo moyo jinsi ambavyo huyu Manji alijipanga kurudi anavyojisemea kimoyo moyo!
”Dah...kmmmk sijapiga hela mda mrefu sana toka yule kooma toka bush anletee ushubwada bora ata kadedi tu kmanyoko zake hhhhoouwh(anapiga muhayo)...Wacha nidondoke zangu Bongo bana nikafanye yangu sasa, mwanangu wa Msogani kashanipanga kwamba sahizi utawala tu haina kwelekweche so hapa mapema sana yani!”...”Wale waxenge wa TAKUKURU sahizi haina shanapa nawazimia Fegi za matako tu afungwi mtu wala nini yani utawala tu!”
Wewe ni kajinga yani!
.
Kwa hiyo unataka na Manji nae apewe nafasi ya kupiga maana sisi tumepiga sana?
.
Huu utetezi wenu kwa Manji faida yenu hasa ni kitu gani?
Vyombo vya dola ndio vinajua mengi zaidi juu ya huyo Manji ila wewe kapuku uko hapa kumtetea wakati bibi zako kule kijijini hata hela ya panadol hawana?
🤣🤣🤣🤣 hakuna tatizo kabisa,na mimi nipo huku nilipo najiibia zangu chaki na kuchapa vibinti vyenu kama marupurupuMsije kushangaa kesho kutwa anaingia ikulu kuzungumza na mama
Tatizo watu wanajadili kwa kusoma vichwa vya habari magazetini, Takukuru wameeleza ni mambo gani au tuhuma gani wanazomhoji Manji.Unajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
Umemaliza Mkuu, ELIMU YA RUSHWA INAHITAJIKA KWA KIWANGO KIKUBWA MNO...Kuna vitu huelewi.
CAG mara nyingi anakagua taratibu kama zilifuatwa ama lah. Mnaweza kufuata taratibu na mkala hela na CAG asijue lakini uchunguzi utajua.
CAG anakagua kama taratibu zilizowekwa za matumizi zinafuatwa, uchunguzi kama wa TAKUKURU unahakikisha kama kweli hicho kitu kilifanyika, bei yake halisi, anataftwa muuzaji, wanajirodhisha uhalali wa lisiti iliyoletwa, wanawez kuomba bank statement ya account ya muuzaji nk.
Uchunguzi hugundua mambo mengi zaidi kuliko ukaguzi.
Ngoja tuone itakuwajeHuyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe.
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe.
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa.
Hawa CCM vipi?
FaizaFoxy Habari ya mwaka mpya umejichimbia kinyama natumai umekuja na nondo mpya za udini karibu sana jukwaa lilipooza kukosa watu kama weweUnajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
Reposted from @udaku_magazine TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIHapo kuna Rushwa gani mpaka Takukuru waanze kumhoji manji ?hii itapelekea kuzuia uwekezaji tena kwani watakosa imani na Tanzania kwa kuona vyombo hujishughurisha na uchunguzi hata usio na Rushwa
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Kipindi hicho serekali ilikua wapi zaidi ya miaka 10?Reposted from @udaku_magazine TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
_
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabishara Yusuf Manji kwa mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi Salum Hamdun amesema kuwa Manji ambaye amerejea nchini baada ya kuondoka tangu mwaka 2018 anatuhumiwa kwa makosa matatu.
CP Hamdun amesema tuhuma hizo zinahusisha kampuni zake za Intertrade Commercial Ltd Serivice na Golden Globe International Service Limited.
Tuhuma ya kwanza ni kuisababishia serikali hasara kwa kukwepa kulipa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na udanganyifu wakati akifanya biashara na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Pili, inadaiwa kuwa kupitia kampuni ya Golden Globe alifanya udanganyifu wakati wa kununua hisa za kampuni ya mawasiliano ya Tigo.
Tatu ni tuhuma ya mapato ya Yanga SC yanayohusu kampuni ya Quality Group.
Manji alikamatwa juzi katika uwanja wa ndege mara baada ya kuwasili nchini.
Hata wewe umepotea kidogo, CAG 'hatumwi' na Rais; na report yake anawasilisha kwa bunge.Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe.
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe.
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa.
Hawa CCM vipi?
Usiingie kwenye huu mtego. Manji hakurudi kwa bahati mbaya. Ni mikakati hii. Si ajabu ukienda utamkuta nyumbani kwake amejipumzisha huku mitaani watu wanatukakana kwa mambo wasiyoyajua. Manji ni mpigaji kama wapigaji wengine tu na hana usafi wowote. Hili la kutangaza kuwa ''anashikiliwa'' ni mikakati ya kumsafisha tu ili wenye uelewa wasiseme serikali inakumbatia mafisadi yaliyokuwa yamekimbia. Hivi mnafanya Manji ni mjinga na amerudi bila kwanza kuhakikisha kila kitu kitaenda vizuri?Kama mlimshindwa kipindi cha Jiwe ndiyo mumuweze leo; kwanza jiulizeni kwa nini ameamua kurudi sasa na si wakati mwingine wowote !!