macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,804
- 39,621
Mkuu mnapopoana huku mitaani tu lakini hili la ''kushikiliwa'' ni geresha ya kumsafisha. Weka kumbukumbu hiki ninachokwambia: baada ya muda majibu yatatoka na serikali itasema imejiridhisha hana hatia. Manji siyo mjinga arudi kichwa kichwa tu bila kuhakikisha atakuwa salama kwani anajua ana madhambi kibao.Manji anatumia fedha za babu yake wewe kubwa jinga.
Mmezoea mpige nyinyi tu nzi wa kijani wakipiga wengine ndio mnaanza kupiga YOPE.
Kama alikuwa anaiba tangia 2010 mbona hamkumpeleka UBAONI? Rostam mbona naye mmemkumbatia na taifa gesi au yeye siyo mwizi?