raisiajaye
Member
- Aug 2, 2023
- 18
- 26
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania
Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?
Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender
Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania
Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi
1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?
2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?
3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?
Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?
Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.
Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.
Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.
Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.
Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)
Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake
1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1
Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya
Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025
UPDATE
Website ya safaritech imeondolewa hewani baada ya taarifa hii
Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli Ghana na sasa wameingizwa Tanzania , kwa nini sisi watanzania ni wajinga namna hii?
Kwa nini serikali yetu kuna watu hawafikiriii?
kwa nini viongozi wetu wanawaza 10% tu?
Kampuni hii inayomilikiwa na Mbunge wa Kenya aitwaye Andrew Chege
ili wahi kuletwa na wanasiasa na JPM akaikataa
Ni kampuni yenye historia za kitapeli (Hewa)
Inajitangaza kuwa iko sponsored na IMF ,USAID ,World Bank na makao makuu yake inasema yako UK(Uingereza)
Taarifa za kiuchunguzi kipindi cha JPM ziliobaini kuwa kampuni hio haina mafungamano na World Bank ,IMF wala USAID bali hutumia mwamvuli huo kupata tender
Kampuni hio ambayo baadhi ya wana siasa wa Tanzania wana hisa kupitia kwa mwanasiasa mwanzilishi aitwaye Andrew Chege (Mbunge wa Kenya) Imerudi tena
Maafisa kadhaa wa Ikulu na baadhi ya waandamizi wa wizara ya fedha tayari wameshaingia makubaliano ya awali kuileta kampuni hio kuja kufanya auditing kwenye makampuni mbali mbali na watalipwa fedha nyingi sana za walipa kodi wa Tanzania
Kampuni hio itapewa tenda ya kufanya auditing ya kampuni nyingi zikiwemo kampuni za simu (vodacom, Honora/Tigo, Airtel etc), pia TRA itafanyiwa auding na makampuni mengine yanayotakiwa kulipa kodi mbalimbali, lengo ni kutaka kuona kama kuna mianya ya kodi kwenye makampuni hayo
Swali langu la msingi
1. CAG hua anafanya ukaguzi ambao haujitoshelezi mpaka iletwe kampuni toka Kenya?
2. Internal auditors na external auditors wa kampuni zilizo nchini hazikufaa mpaka ikatafutwa kampuni ya Safaritech toke kenya?
3. Makampuni ya simu ya Call detailed records(CDR) , tunaruhusu kampuni ya kenya ije ishike taarifa za siri za watanzania?
Yaani kampuni ya mwana siasa wa kenya ije iangalie CDR za simu za watanzania?
Kumbuka CDR zinaonyesha wewe umepiga simu wapi,kwa nani ,ukiwa wapi na taarifa nyingine nyingi za siri
4.Kwa nini JPM alikataa wakenya kuja na kufikia taarifa za siri za watanzania lakini serikali hii inaruhusu sasa?
Ghana kuna kampuni dada ya safari tech , walienda kukagua MTN Ghana , na kwa sababu walikua wanalipwa asilimia ya kodi iliyokwepwa wanayoigundua , walibambikia kampuni ya ghana ukwepaji wa kodi wa Billion 8 USD ili walipwe 30% ya pesa hio.
Kwa Tanzania, kampuni za simu jiandaeni kubambikiwa madeni ili hawa mabwana wapate cha juu.
Kwa kua suala la kampuni hii lina masilahi na wanasiasa kadhaa wa Tanzania ,ambao wameidanganya Ikulu na ikulu kuruhusu Kampuni hio iongee na wizara vya fedha , watu wa usalama wa Taifa na vyombo vya ulinzi na usalama wafanye special vetting ya wanasiasa wote waliohusika kuingiza nchini kampuni hii.
Pia Kampuni ya nchi jirani ambayo ni washindani wa nchi yetu ,kuruhusiwa kugusa taarifa za siri za watanzania ni hatari sana, tunauza taarifa za nchi kwa taifa jirani chini ya kampuni hewa isiyo na uwezo wa kufanya auditing.
Nawawekea reference za mmiliki wa kampuni hio Andrew Chege (Mbunge wa Kenya)
Man behind SAFARITECH says he’s worth $10 million
Andrew Chege, the man behind Safaritech Limited has declared to the Members of County Assembly (MCAs) of Nairobi, Kenya that he is worth KS1.5 billion (US$10.4 million).Safaritech Limited is the mother company of Safaritech Ghana Limited, the company that audited MTN Ghana and concluded that bet
www.techfocus24.com
Nawawekea kasheshe walioisababisha Ghana kwa kufanya audit fake
1.https://commsrisk.com/ghana-tax-authority-defends-appointment-of-dodgy-telco-revenue-assurance-auditors/
2.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
3.https://www.techfocus24.com/mtns-ghs8-billion-tax-gra-ditched-kpmg-for-imf-agent-safaritech/
4.https://theindependentghana.com/gra-denies-contract-with-safaritech-uk/
5.https://starrfm.com.gh/2023/07/pac-demands-details-of-engagement-between-gra-auditing-firm-safaritech/?amp=1
Nisiwachoshe sana, niwaambie tu kwamba Nchi hii imepitia kampuni janja na zenye mikono ya wanasiasa wenye nguvu kama IPTL na nyingine nyingina sasan mnaletewa kampuni itakayolitwa Billions of TZS kodi za watanzania ambazo wanasiasa wetu wanaenda kuzichukulia Kenya
Mawaziri wanaohusika na hii kampuni wameidanganya Ikulu na sasa wanataka kumwingiza Rais Samia kwenye scandal nyingine kubwa sana ambayo inaweza kumgharimu 2025
UPDATE
Website ya safaritech imeondolewa hewani baada ya taarifa hii