FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
- Thread starter
- #21
Kumbe tatizo ni viwanja alivyouziwa na bakwata basi harudishi kwa sababu sio kosa lake bali ni kosa la bakwata
Hayo yanayompata Manji ni somo tosha kwa wote waliohusika. Na wala hapa hatumtaki avirudishe BAKWATA, kanisome vizuri.
Hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.