Yussuf Manji, Omba Toba

Yussuf Manji, Omba Toba

Wakati ukiwaza kutoka bariadi, kasulu, mbinga, ndungu, moshi, karagwe ufike Dar kutafuta maisha vijana wa mzizima walitahayari kuiacha mnazi mmoja na jiji kwenda bondeni au mamtoni kusaka maisha iwe kwa kuzamia au kihalali , jukwaa lisitufanye tudhihaki watu,
unaakili wewe? unaacha fursa nyumbani uende sauzi,ukirudi umekamatwa na unga!
 
Mi sina uadui wowote na Waislam, tena nna marafiki wengi waislam kuliko hata Wakristo wenzangu, ila nnachosema ni kwamba nyinyi waislam ndo huwa kila mwaka wa uchaguzi mnawapa CCM ushindi wa kishindo halafu ndo wakwanza kuja kulalamika mnaonewa.

Sina ubaya wa nyie kuchagua CCM ila nakereka na hali yenu ya kulalamika kila siku kwamba mnaonewa angali ndo huwa mnatoa ushindi. Ina maana ni kwanini mnachagua chama halafu mnaweka kando maslahi yenu halafu baadae mnakuja kulia mnaonewa??.?

Juma Duni kwanini kahama chadema?
 
Juma Duni kwanini kahama chadema?
Mama! mission accomplished, yule aliingia Chadema kwa makubaliano kwamba yeye awe mgombea mwenza maana katiba isingeruhusu awe mgombea mwenza akiwa Cuf, sioni ubaya hapo.. Kwani msingi haswa wa kuuliza hivo ni nini?
 
Kumbe tatizo ni viwanja alivyouziwa na bakwata basi harudishi kwa sababu sio kosa lake bali ni kosa la bakwata

Mwislam anao muongozo madhubuti unao muongoza sio kama wale wanoa amini ktk mafumbo, yeye anajua fika kuwa Bakwata hawna mali yeyote wao ni watunzaji wa mali za waislam, na hawana haki yeyote ya kuuza mali za waislam kwa maana hiyo Manji na Bakwata walishirikiana kuwaibia waislam ardhi yao,
 
Sasa ni bora hao Bakwata wa zama hizo waliomuuzia muislam mwenzao hivyo viwanja, Bakwata ya leo imeshindwa kujenga makao makuu hadi alipojitokeza "msamaria mwema" kutoka mji mwingine kuwasaidia.Nimependa ushauri wa kuanzisha Manji Islamic Foundation, maana hata akivirejesha sidhani Bakwata wana uwezo wa kujenga University wanaweza kumuuzia mtu mwingine labda tumuombee sana msamaria mwema kikombe anachokinywea sasa kimuepuke ili adumu ofisini akatusaidie ktk hili pia!
Hawa Bakwata na huyo msamaria mwema wa kikombe hawawezi kuwafaa Waislam kwa chochote uziri waislam tunafaidi sana na kitabu chetu
Hawo Bakwata na jamaa yao msamaria Allah kaisha tueleza ktk Quran 4:138,139 inasema: "WAAMBIE WANAFIKI KWAMBA WATAPATA ADHABU INAYO UMIZA (wanafiki) AMBAO HUWAFANYA MAKAFIRI KUWA MARAFIKI BADALA YA WAISLAM JE WANATAKA WAPATE UTUKUFU KWAO ? BASI UTUKUFU WOTE NI WA MWE NYEZIMUNGU ( hauko kwenye mikono ya mtu)
 
Ben Saanane kamuulizie kwa boss wake, Mbowe.

Mbowe pale Bilicanas ni zaidi ya ufisadi uliokuwa ukitendeka, vitoto vidogo vingi vimeharibikia pale.

Dua zimekubaliwa.
Kati ya watu wasio na fikra wewe unaongoza,ni unafiki tu umekujaa na udini pia.
Hakuna dua yoyote iliyosikika, Nimeshakuambia Mungu huwa hasikilizi magaidi Kama nyie .
Ni watoto gani waliharibika Bilicanus?
Kwa upeo wako mdogo umeona Tanzania nzima sehemu ya starehe ni Bilicanus tu?
Una ubongo Wa samaki kweli wewe, huoni watoto walioharibika Kwa kushinda mitaani wakiuza karanga badala ya kwenda Shule?
huoni watoto walioharibika Kwa kuuza baa baada ya maisha kufanywa magumu na green devils?
Umeshatembea mikoa na vijiji vingapi wewe Tanzania hii ukajionea jinsi watoto Walivyo haribiwa na maisha magumu Kwa Sababu ya mafisiemu?
kuna mtoto angeweza kwenda Bilicanus enzi zake? wewe uliwahi kwenda Bilicanus ukakuta watoto?
Hiyo dini yenu ndo inaharibu watoto ,mnawafundisha ugaidi na kukariri Quran, wakifeli Elimu dunia Kwa Sababu muda mwingi wanakaririshwa Quran, mnaijia juu serikali eti inawafelisha makusudi Kwa Sababu ni serikali ya mfumo kristo.
Watu wa hovyo Sana nyie.
Mbowe amekuwa serikali hadi amtafute Ben saanane? Kwa hiyo serikali haina jukumu la kulinda raia wake kumbe ni jukumu la Mbowe?
if Mbowe is the case about his disappearance, why don't you get him held responsible if so far you have evidence na ni Jamhuri?
Usidhani watanzania bado wajinga Kama zamani, watu wameamua kukaa kimya maana hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.
Halafu sijui huwa Unaona fahari kushinda humu unatetea ujinga na hijabu yako hiyo, eti na wewe ni mke wa mtu, huyo aliyekuoa wewe he must be a silly husband, you can't wed to such a woman that spends most of her time being into social networks and putting up with folly things.
 
Mtoa mada yuko sahihi Manji aliamini sana kutumia pesa sake kufanya dhuluma alisahau malipo ni hapahapa arudi aombe toba
 
Back
Top Bottom